Hatimaye Zitto Kabwe akaa meza moja na UKAWA

Hatimaye Zitto Kabwe akaa meza moja na UKAWA

Huu ni mfano mzuri kwa jamii, na salamu kwa ccm.

Wakumbuke tu, hii dunia ya leo ni tofauti na miaka ilopita. Kiburi na majivuno kinaimaliza ccm.

Ukada utofautishwe na majukumu ya kiserikali/uwaziri.
 
Lackeys mnatabu sana,mkiona bwana yenu kamchukia mtu na nyinyi mnalazimika kumchukia hata kama hamjui hata chanzo cha ugomvi wao ili mumridhishe tu bwana yenu na ikitokea wamepatana mnaanza tena kujishebedua.

Hawa jamaa uwezekano wa ku-settle tofauti zao ni mkubwa sababu issue ilikuwa uenyekiti tu na lengo la kumpoteza kisiasa limeshindikana so running dogs jiandaeni tena kuanza kumuimbia mapambio.
Ccm wote sasa mnamaradhi ya ZiKa
 
Msaliti leo amekuwa jiwe kuu la msingi lililokataliwa na waashi?
 
Leo hata wakina diamond, Mr blue wanajiita simba so sishangai na ww ukimwita yuda nae ni simba so tuimbe kwa pamojaaaa simba yuda anaunguluuma @10
 
sasa wale bavicha sijui watakuwa na kazi gani. maana wao ilikuwa kutwa kucha kumtukana Zitto humu. sasa Boss wenu kafanya tofauti.
mjifunze kitu hapa; msiamini sana mnayoambiwa na wanasiasa. nyie mtauana wakati wao wakinywa chai pamoja. take care.
 
Zitto Zuberi Kabwe ndie mwanasiasa wa pekee ambae anatambua siasu sio chuki na kutifautiana kwa hoja ni jambo la kawaida ktk siasa na wala haamin ktk siasa za maji taka kama wafanyavyo wapinzani wenzie....

Ona leo wale waliomuita msaliti ndio hao hao wanaompongeza

Sasa zito atang'ara kuliko awali na wale wenye nguvu ya hahahaaa wajiandae kukaa nae meZa moja ya mashauriano
 
  • Thanks
Reactions: nao
Hilo cheko mbona mnalitafsiri kirahisi hivyo ???? Movie za Kimafia zinaniharibu
 
Zito jitambue urudi nyumbani uko kwenye mijizi na mijambazi jitambue bado hujachelewa
 
Huwa nafurahi sana nikimuona Zitto akiwa upande wa upinzani, najua kabisa umoja ni nguvu na hapo timu inakuwa imekamilika.
 
ata yesu alikaa na wakusanya ushuru, wakahaba ,waranguzi so sishangai kwa Mbowe kukaa na Zitto

Mnamfananisha Mbowe na Yesu dah Yesu afananishwi na wanasiasa wasiokuwa na msimamo


Mbowe 2008-2015 : Lowassa Fisadi
Mbowe july 2015 : Lowassa Mabadilikooo Mabadilikooo Lowassa (huku akizungisha mikono) na nyie mnazungusha mikono kama manyumbu
 
Mnamfananisha Mbowe na Yesu dah Yesu afananishwi na wanasiasa wasiokuwa na msimamo


Mbowe 2008-2015 : Lowassa Fisadi
Mbowe july 2015 : Lowassa Mabadilikooo Mabadilikooo Lowassa (huku akizungisha mikono) na nyie mnazungusha mikono kama manyumbu
cwez kumfananisha mwokozi wetu na Mbowe bt nimekutolea mfano kama mwokozi wetu aliweza kukaa na watu wabaya itakuwa Mbowe Zitto kukaa na Mbowe akumpi clearance ya kuonekana c msaliti
 
Hiyo inaitwa KWA MASLAHI MAPANA YA TAIFA,hii picha imenifurahisha sana.
Natamani haya mambo yaishe,Zitto arudi kuwa kama yule wa zamani!
 
Naona haya maneno 'ufisadi' na 'usaliti' yatakosa kutajwa kabisa huko UKIWANI. Naona Mbowe anajichekesha tu kwa mpinzani Zitto hapo....BAR YA VICHAA mtakuwa na kazi gani sasa!?
 
Back
Top Bottom