Katika kuonesha ni kwa namna gani Ukawa imekua bure kabisa, kwa kukosa watu wenye weledi na uwezo wa kujenga hoja.
Hivi majuzi wamekubali wenyewe kua zito alikua na mchango mkubwa kukijenga chadema, wamedhihirisha wenyewe ni kwa namna gani hawana uwezo wa kujenga hoja.
Sijui ni nani katika kambi yao angeweza kujenga hoja mara zote kama sio kudandia hoja ya zito.
Ni dhahiri kabisa, Muunganiko huu wa ukawa ungeleta janga kuu kwa taifa letu kama wangeshinda uchaguzi mkuu, tuna bahati sana hayo hayakutokea, tungejuta na tungekula majani kwa kuwapa nchi watu wasio na uwezo wa kusoma hata vifungu vya kanuni.