DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Akili fupi km mkia wa sungura
Uwezo wako wa kutafakari ni mdogo sana, umejitahidi kuandika lakini kwa bahati mbaya, umeandika pumba, jaribu tena,Namna ulivyoandika inatosha kutuonyesha kwamba kichwani ni mweupe sana na unapenda kuwaabudu watu wengine kwasababu mwenyewe unajijua ni mtupu,so stop judging the world around you using your own small world.
You must be kidding, Cheyo is also among vichwaz?Ukawa hawana vichwa.enzi za kina slaa,hamad rashid,john cheyo hakuna mtu kususa kitoto,sasa hivi kuna wazee wa shanga,kitu kidogo tu wanatoka kwenda kurekebisha shanga
Tatizo ni uwezo ndio hamna, pale ukawa pale kuna wajenga hoja za vyuupi tu, huyu si ndio mlikua mnamuita msaliti, unapoamua kusimamia simamia jambo, sio kuruka ruka na kubadilisha misimamo kila mara, inaonekana hamjielewi, kama mnasema zito ni msaliti basi na iwe hivyo, kama sio msitupotezee muda wetu bure kwa siasa uchwara.Hivi ni kosa kushirikiana kwa lile lililo kweli na haki? Mbona tunaumba chuki miongoni mwa watu bila sababu?
Huu ni upeo wa chini sana katika kufikiri. Umaskini wa fikra ni janga kubwa kwa Taifa letu leo.
Hahaaaa we jamaa una akili sanaUkawa hawana vichwa.enzi za kina slaa,hamad rashid,john cheyo hakuna mtu kususa kitoto,sasa hivi kuna wazee wa shanga,kitu kidogo tu wanatoka kwenda kurekebisha shanga
Bila lisu kua anaongea pale bungeni sijui nasema sijui nini kingewapata nyie maukawa, kelele nyingi kumbe hamna lolote...Akili fupi km mkia wa sungura
Sasa upande wa CCM pamoja na uwingi wao kama NYUMBU lakini hawana hata huyo mmoja mwenye uwezo kama wa Tundu LissuBila lisu kua anaongea pale bungeni sijui nasema sijui nini kingewapata nyie maukawa, kelele nyingi kumbe hamna lolote...
Hapa umehitimisha kua Ukawa ni mtu mmoja Lisu, ndio maana hata yule mzee wa vyupi alikua anasomewa vifungu na lisu maana mnavyodhani kua bila lisu hakuna ukawa na ukawa ni lisu, mnahali mbaya sana, kwahiyo lisu mfano akapata mafua asije bungeni, siku hiyo tutegemee hoja za vyupi tu?Sasa upande wa CCM pamoja na uwingi wao kama NYUMBU lakini hawana hata huyo mmoja mwenye uwezo kama wa Tundu Lissu
Awe Zito au mwingine yeyote yule anayetetea maslahi ya taifa hata mimi ningempongeza....Katika kuonesha ni kwa namna gani Ukawa imekua bure kabisa, kwa kukosa watu wenye weledi na uwezo wa kujenga hoja.
Hivi majuzi wamekubali wenyewe kua zito alikua na mchango mkubwa kukijenga chadema, wamedhihirisha wenyewe ni kwa namna gani hawana uwezo wa kujenga hoja.
Sijui ni nani katika kambi yao angeweza kujenga hoja mara zote kama sio kudandia hoja ya zito.
Ni dhahiri kabisa, Muunganiko huu wa ukawa ungeleta janga kuu kwa taifa letu kama wangeshinda uchaguzi mkuu, tuna bahati sana hayo hayakutokea, tungejuta na tungekula majani kwa kuwapa nchi watu wasio na uwezo wa kusoma hata vifungu vya kanuni.
Mkuu unajifhalilisha...Hapa umehitimisha kua Ukawa ni mtu mmoja Lisu, ndio maana hata yule mzee wa vyupi alikua anasomewa vifungu na lisu maana mnavyodhani kua bila lisu hakuna ukawa na ukawa ni lisu, mnahali mbaya sana, kwahiyo lisu mfano akapata mafua asije bungeni, siku hiyo tutegemee hoja za vyupi tu?
Kwa hiyo mkuu ulitaka zzk akileta hoja yenye manufaa kwa taifa basi ukawa wasiiunge mkono?.Katika kuonesha ni kwa namna gani Ukawa imekua bure kabisa, kwa kukosa watu wenye weledi na uwezo wa kujenga hoja.
Hivi majuzi wamekubali wenyewe kua zito alikua na mchango mkubwa kukijenga chadema, wamedhihirisha wenyewe ni kwa namna gani hawana uwezo wa kujenga hoja.
Sijui ni nani katika kambi yao angeweza kujenga hoja mara zote kama sio kudandia hoja ya zito.
Ni dhahiri kabisa, Muunganiko huu wa ukawa ungeleta janga kuu kwa taifa letu kama wangeshinda uchaguzi mkuu, tuna bahati sana hayo hayakutokea, tungejuta na tungekula majani kwa kuwapa nchi watu wasio na uwezo wa kusoma hata vifungu vya kanuni.
Asifanye chochote kwa kuwa kichwa chake kilibaki cjafema alafu kiwiliwili kikaenda ACT?.Mwanzoni alibezwa kwamba asingefanya chochote bungeni kwa kuwa ni mbunge pekee wa chama chake, amedhihirisha kuwa waliombeza hawakuwa sahihi.
Uwezo wako wa kutafakari ni mdogo sana, umejitahidi kuandika lakini kwa bahati mbaya, umeandika pumba, jaribu tena,
Mkuu kwani umeshindwa kuelewa anasumbuliwa na nini huyo? Ni uvutaji wa bange bila kuwa na uhakika wa lishe tuu.Namna ulivyoandika inatosha kutuonyesha kwamba kichwani ni mweupe sana na unapenda kuwaabudu watu wengine kwasababu mwenyewe unajijua ni mtupu,so stop judging the world around you using your own small world.
wanaongelea hoja za vyupi na shanga? ??!!!! kazi ipo. yule jamaa wa elimu ya hapa na pale asipewe nafasi ya kuongea. anaitia aibu ukawaBila lisu kua anaongea pale bungeni sijui nasema sijui nini kingewapata nyie maukawa, kelele nyingi kumbe hamna lolote...
Kwa ukawa cheyo yuko mbali sana.You must be kidding, Cheyo is also among vichwaz?
Acha wewe! Mbona wapo wengi tuu ambao ni vichwa na "tunavitegemea" sana? Wao wakisimama kuchangia huwa tunawashangilia sana. Mfano ni Livingstone Lusinde, Msukuma, Martha Mlata, Majimarefu, Kessy nk nk. Au unaonaje hapo mkuu?Sasa upande wa CCM pamoja na uwingi wao kama NYUMBU lakini hawana hata huyo mmoja mwenye uwezo kama wa Tundu Lissu