Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
I think hawa ndo wamechomekwa kutoka walawi kuaribu system
I think hawa ndo wamechomekwa kutoka walawi kuaribu system
Hii nchi ni kama comedy
nakumbuka mkurugenzi wa uhamiaji aliwahi fikishwa
mahakamani kwa kuwa sio raia...
Imagine mkurugenzi wa uhamiaji..........
Mbona unaongea kwa hisia hivi bwana Mfianchi Mutharika?Ndio Mkullo ni Mmalawi cha ajabu kipi mbona kuna watu ambao sio asili yao hapa TZ na wamekuwa katika uongozi siku nyingi,nenda zanzibar kuna mmoja amewahi kuwa kiongozi na ana asili ya Malawi kwa baba yake mbona hamkusema,hata Mkullo mbona hamkusema alipokuwa madarakani,mumeona haluwa na tende za dezo zimeisha ndio mnaanza kumkana,hao ni wazee gani?
Mkuu Tanzania nishamba la bibi Ndio maana viongozi hawana weledi, ukichunguza sana utakuta hata Jk ni muiraki inasikitisha sana
Nimesoma habari hii kwenye Nipashe. Wazee wa huko kwake Morogogoro wamemwandikia JK barua kudai Mkulo ni Mmalawi .Wana JF hii kweli.?
Mkuu Kwahiyo Kova nae ni Muethiopia?Raia halisi wa Tanzania ni akina Willie, Wagogo.
Wengine wote watu wa kuja.
Wachagga Kenya
Wanyakyusa Malawi,
Wahaya Uganda,
Waha Burundi,
Wanyantuzu akina Chenge Warundi wale
Wafipa Zambia na Kongo,
Wamburu na Warangi Ethiopia,
Wazanzibar Oman
Wangoni Msumbiji na South Afrika,
Wahehe South Afrika
Who is a Tanzanian citizen?
Raia halisi wa Tanzania ni akina Willie, Wagogo.
Wengine wote watu wa kuja.
Wachagga Kenya
Wanyakyusa Malawi,
Wahaya Uganda,
Waha Burundi,
Wanyantuzu akina Chenge Warundi wale
Wafipa Zambia na Kongo,
Wamburu na Warangi Ethiopia,
Wazanzibar Oman
Wangoni Msumbiji na South Afrika,
Wahehe South Afrika
Who is a Tanzanian citizen?
Nimesoma habari hii kwenye Nipashe. Wazee wa huko kwake Morogogoro wamemwandikia JK barua kudai Mkulo ni Mmalawi .Wana JF hii kweli.?
Hii nchi ni kama comedy
nakumbuka mkurugenzi wa uhamiaji aliwahi fikishwa
mahakamani kwa kuwa sio raia...
Imagine mkurugenzi wa uhamiaji..........
...Hao wazee Mkulo amewanyima ulaji nini? Leo ndio wanasema kuwa sio mtanzania wanataka iwe nini sasa? Miaka yote walikuwa wapi? Low mind duh!!Nimesoma habari hii kwenye Nipashe. Wazee wa huko kwake Morogogoro wamemwandikia JK barua kudai Mkulo ni Mmalawi .Wana JF hii kweli.?