Alafu mnasema mnataka kuandamana na kukinukisha mtaweza kweli?Fukuto ni kubwa na linazidi kuwabana hewa! Hapatoshi wala hapatoshani... Hatimaye wameamua kumkamata.. Hii ni aibu kubwa Sana! Na ni kushindwa kubaya kabisa
Walianza kwnye kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa chama.. Wakatumia kila aina ya mbinu chafu zikiwemo za matusi ya wazi, kejeli na hata kashfa.. Lakini akashinda na akawashinda vibaya mno!
Pia soma > Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga, Ruvuma
Baada ya uchaguzi wakaja na mbinu ya kukigawa chama kupitia kikundi kilichojiita G55.. Kikundi hiki cha wasaka tonge kimefemea ibada ya kwanza. Kimebemendwa hata kabla hakijajifunza kutembea.. Kimepuuzwa na Watanganyika kikapuuzika!
Mwanzoni mwa mikutano ya NO REFORMS no ELECTION wakajibu mapigo kwa kuipotosha.. Lakini kwa mshangao mkubwa wakapuuzwa na wananchi wote waliochoshwa na maujinga yao
Sasa fukuto limekuwa kali na kisu wala hakijakaribia kugusa mfupa. Wamemkamata😂😂😂
Wakumbuke. Kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo afike haraka aendakoView attachment 3298066View attachment 3298135
Kazi ya Jamii Forum nikufanya je, ni wananchi kuja na kuandika ujumbe, kero na ukweli THEN WHAT? ALFU NINI KINAFANYIKA? kama wannchi zaidi ya Elfu1 Wanaweza kuona nakuandika kilichotekea kwa Lissu sio sawa na sio haki Lakini haisaidi kueka mdhamana wakumtoa kituoni wala vyote tunavyoviongeaa huku vinatenda kazi Gan... wananchi tumekuwa waoga wakutekeleza vitendo ndio sababu wengi tuko hapa Tunaandika maneno TUUU..... JE LISSU ATAWEZA KUTOKA KITUONI KWA MSAADA YA WANANCHI NA CCM AMETUZOEA KIASI KWAMBA ANAKUNYA MBELE YETU, NATUNAMSAIDIA KUZOAFukuto ni kubwa na linazidi kuwabana hewa! Hapatoshi wala hapatoshani... Hatimaye wameamua kumkamata.. Hii ni aibu kubwa Sana! Na ni kushindwa kubaya kabisa
Walianza kwnye kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa chama.. Wakatumia kila aina ya mbinu chafu zikiwemo za matusi ya wazi, kejeli na hata kashfa.. Lakini akashinda na akawashinda vibaya mno!
Pia soma > Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga, Ruvuma
Baada ya uchaguzi wakaja na mbinu ya kukigawa chama kupitia kikundi kilichojiita G55.. Kikundi hiki cha wasaka tonge kimefemea ibada ya kwanza. Kimebemendwa hata kabla hakijajifunza kutembea.. Kimepuuzwa na Watanganyika kikapuuzika!
Mwanzoni mwa mikutano ya NO REFORMS no ELECTION wakajibu mapigo kwa kuipotosha.. Lakini kwa mshangao mkubwa wakapuuzwa na wananchi wote waliochoshwa na maujinga yao
Sasa fukuto limekuwa kali na kisu wala hakijakaribia kugusa mfupa. Wamemkamata😂😂😂
Wakumbuke. Kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo afike haraka aendakoView attachment 3298066View attachment 3298135
Bosi wao hata cheti cha veta hana, sembuse hao wa vijijini?mapolisi hayajawahi kuwa na akili. never ever!
Mitandao ya kijamii ina nguvu na ni nyenzo mojawapo ya kupaza sauti na kufikisha ujumbe sehemu husikaKazi ya Jamii Forum nikufanya je, ni wananchi kuja na kuandika ujumbe, kero na ukweli THEN WHAT? ALFU NINI KINAFANYIKA? kama wannchi zaidi ya Elfu1 Wanaweza kuona nakuandika kilichotekea kwa Lissu sio sawa na sio haki Lakini haisaidi kueka mdhamana wakumtoa kituoni wala vyote tunavyoviongeaa huku vinatenda kazi Gan... wananchi tumekuwa waoga wakutekeleza vitendo ndio sababu wengi tuko hapa Tunaandika maneno TUUU..... JE LISSU ATAWEZA KUTOKA KITUONI KWA MSAADA YA WANANCHI NA CCM AMETUZOEA KIASI KWAMBA ANAKUNYA MBELE YETU, NATUNAMSAIDIA KUZOA
Huo ni mkoa wa wanaume we shoga! wewe unatoka wapi? kwa w@S#enge eti?Kutoka msoma utasikia "Nikaokopa" badala ya "Nikaogopa"
Somo linaeleweka kabisa kuna watu apo Lumumba na kule msoga wataanza kukimbiana uko mbeleni Kuna makaburi yatafukuliwa kulipa na kujibu tuhuma,Fukuto ni kubwa na linazidi kuwabana hewa! Hapatoshi wala hapatoshani... Hatimaye wameamua kumkamata.. Hii ni aibu kubwa Sana! Na ni kushindwa kubaya kabisa
Walianza kwnye kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa chama.. Wakatumia kila aina ya mbinu chafu zikiwemo za matusi ya wazi, kejeli na hata kashfa.. Lakini akashinda na akawashinda vibaya mno!
Pia soma > Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga, Ruvuma
Baada ya uchaguzi wakaja na mbinu ya kukigawa chama kupitia kikundi kilichojiita G55.. Kikundi hiki cha wasaka tonge kimefemea ibada ya kwanza. Kimebemendwa hata kabla hakijajifunza kutembea.. Kimepuuzwa na Watanganyika kikapuuzika!
Mwanzoni mwa mikutano ya NO REFORMS no ELECTION wakajibu mapigo kwa kuipotosha.. Lakini kwa mshangao mkubwa wakapuuzwa na wananchi wote waliochoshwa na maujinga yao
Sasa fukuto limekuwa kali na kisu wala hakijakaribia kugusa mfupa. Wamemkamata😂😂😂
Wakumbuke. Kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo afike haraka aendakoView attachment 3298066View attachment 3298135
Mitandao ya kijamii ina nguvu na ni nyenzo mojawapo ya kupaza sauti na kufikisha ujumbe sehemu husika
inapofika inatekelezwa na lini inafika hapo sehemu husika na kama vilio vilivyopo huku ni vingi sana, na bado vinaongezeka, Nadhani inaitajika nguvu zaidi tufikie wahusika pengine Lissu angeweza kuachiliwa Mapema Kama hizi sauti zinafika sehemu husikaMitandao ya kijamii ina nguvu na ni nyenzo mojawapo ya kupaza sauti na kufikisha ujumbe sehemu husika
Sisi ni Wadau wa 4RMakamanda mlikuwa wapi?