IT Guru
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 635
- 112
naweza kutengeneza virtual card zaidi ya moja?Hapana, hela unaweka through M-PESA, then unaiamishia kwenye M-Pesa MasterCard.
naweza kutengeneza virtual card zaidi ya moja?Hapana, hela unaweka through M-PESA, then unaiamishia kwenye M-Pesa MasterCard.
Hii ni kama debit card kama nyingine za kawaida tu, umejariba ku-link imekataa?Yani ingekubal kulink na skrill ingekua poa sana
Hii ni kama debit card kama nyingine za kawaida tu, umejariba ku-link imekataa?
Nilihitaji ku link kadi yangu ili niweze kuitumia kulipia paypal nanipokuwa nafanya manunuzi ebay. Je! hii MPESA itakubali kulipa?na ili paypal iwasiliane na MPESA yangu nitafanyaje?Kupokea kwa PayPal bado, ila utaweza kupata refund tu.
hii haihusiani na NMB. ni huduma inayotolewa na Vodacom MPesa. Kama una voda unaweza kujiungamimi wa NMB sitapata huduma?
sasa ABC inatajwa kwa sababu zipi?hii haihusiani na NMB. ni huduma inayotolewa na Vodacom MPesa. Kama una voda unaweza kujiunga
Bila shaka,... inakubali mkuu. Kupokea malipo bado ni changamoto kwa hapa TZHaya ndo mambo tunataka sasa, Jev vipi kulink hio Virtual card na paypal inakubali mana Sellers wengi amazon na ebay wanapokea via PayPal, na vipi kuhusu kupokea malipo kwa PayPal imeanza au bado?
kama una SIM card 2 za voda utaweza kutengeneza. Si kwenye SIM card 1.naweza kutengeneza virtual card zaidi ya moja?
Ndio itakubali kulipa, hela utaiamishia kutoka m-pesa kwenda M-pesa Card na tayari pesa itakuwa kwenye mfumo wa MasterCard tayari kwa malipo ya PayPal. Jaribu kufungua uone.Nilihitaji ku link kadi yangu ili niweze kuitumia kulipia paypal nanipokuwa nafanya manunuzi ebay. Je! hii MPESA itakubali kulipa?na ili paypal iwasiliane na MPESA yangu nitafanyaje?
kwenye ile ile menu ambayo umetengeneza card, pia utaona option inasema weka pesa kwenye card. *150*00# chagua lipa kwa mpesa, then chagua mpesa master card, utaiona weka option ya kuweka pesa kwenye cardUnaiamishaje kwenda mpesa master card?
Nilitamani hili muda nashukuru kwa kutimiaBancABC kwa kushirikiana na MasterCard, wamezindua huduma mpya iitwayo M-Pesa-Mastercard ni ya kwanza na ya kipekee Tanzania itakayomuwezesha mteja wa M-Pesa kuweza kulipia huduma na bidhaa mitandaoni katika tovuti mbali mbali Duniani zinazopekea malipo kwa MasterCard. Kupata huduma hii ya Virtual Card piga *150*00# chagua lipa kwa M-Pesa, chagua M-Pesa MasterCard, kutengeneza kadi yako. Utapata Card Number, Expiration date pamoja na CVV Number ndani ya sekunde chache tu!
Ni nzuri hata kama huna account ya bank voda ndo bank yenyewehii haihusiani na NMB. ni huduma inayotolewa na Vodacom MPesa. Kama una voda unaweza kujiunga
Kwanini uhai wa kadi ni muda mfupi/mwezi mmoja pekeeBancABC kwa kushirikiana na MasterCard, wamezindua huduma mpya iitwayo M-Pesa-Mastercard ni ya kwanza na ya kipekee Tanzania itakayomuwezesha mteja wa M-Pesa kuweza kulipia huduma na bidhaa mitandaoni katika tovuti mbali mbali Duniani zinazopekea malipo kwa MasterCard. Kupata huduma hii ya Virtual Card piga *150*00# chagua lipa kwa M-Pesa, chagua M-Pesa MasterCard, kutengeneza kadi yako. Utapata Card Number, Expiration date pamoja na CVV Number ndani ya sekunde chache tu!
Nimeanza na SKRILLwakiruhusu kupokea kwa paypal naomba nitagi
Ukija paypal nishtue mwalimu, nataka nijue pia rate zako zikoje, kama nikitaka kutoa USD 500 mpaka inifikie mkononi itakuwa kiasi gani!Nimeanza na SKRILL
Ninanunua USD toka SKRIL kwa rate ya 1usd = TZS 2,100ukija paypal nistue mwalim , nataka nijue pia rate zako zikoje, kama nikitaka kutoa usd 500 mpaka inifikie mkononi itakua kiasi gani!