Hatimaye tumechukua no moja

Kule mkuu ndoa hukabidhiwa kwa mti wa porini kabla haijafungwa. Unaambiwa wewe mtu ulivyosimamz miaka 100+ na ndoa yangu isimane hivyo hivyo
Lakini wanasumbuka bure tu mbona mie nilishazimikaga tu hata bila kurogwa
 
No need to logaring me ie sindimba tu ilitosha kabisa na ukichangia na chura kajaaliwa sasa sijui kwenye kuroga wanataka nini zaidi
Mume wa shost alihama kama utani, huko tukaambiwa anasomesha mashemeji na wakwe amewajengea nyumba. Katika kuhangaika aliambiwa sandlike maumivu huyo mke mwe za amekwenda Malawi na Msumbiji.

Shost amekuwa mlokole.
 
Haraka maana mmmmh.. kweli malavidavi yanachukua muda wa mtu

Sawa ni yule nyapu nini.. maana naona ametulia kwasasa amepiga kimya fulani.. eeeeh.. umentisha utamuacha kweli kweli..
huo unaitwa uchokozi sasa
 
 
60% ya wafanyabishara ndumbaa,65 ya wanawake dumba,kazini watu wanatumia dumba kama hawana akiri
 
Wame exclude Nigeria πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, sijui waliroga takwim zenyewe πŸ€—
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…