Lakini wanasumbuka bure tu mbona mie nilishazimikaga tu hata bila kurogwaKule mkuu ndoa hukabidhiwa kwa mti wa porini kabla haijafungwa. Unaambiwa wewe mtu ulivyosimamz miaka 100+ na ndoa yangu isimane hivyo hivyo
Wengi walitambua lakini waliogopa kutekwa. Nani hakuitaka ile billion?Lakini mbona walishindwa kutambua alikopelekwa MO?
Mimi ninamtegemea Yesu na MariaLakini wanasumbuka bure tu mbona mie nilishazimikaga tu hata bila kurogwa
No need to logaring me ie sindimba tu ilitosha kabisa na ukichangia na chura kajaaliwa sasa sijui kwenye kuroga wanataka nini zaidiMimi nunamtegemaea Yesu na Maria
Mume wa shost alihama kama utani, huko tukaambiwa anasomesha mashemeji na wakwe amewajengea nyumba. Katika kuhangaika aliambiwa sandlike maumivu huyo mke mwe za amekwenda Malawi na Msumbiji.No need to logaring me ie sindimba tu ilitosha kabisa na ukichangia na chura kajaaliwa sasa sijui kwenye kuroga wanataka nini zaidi
Na wanaoongoza hapa kwetu ni wanawake/wadada, yaani wanaume tuna kazi sana tunagawanwa na hawa viumbe kama mpira wa kona, ukirudi home mwanamama anafanya yake, ukikaa mezani house girl anafanya yake,ukienda kwa mchepuko nae anakolezea kwake,yaani tupo tupo tu kama misukule
Na tuendeleze vya kwetu kwa faida ya keshoAibu gani mkuu hiyo ndiyo kwa kizungu inaitwa technology!! Tupende vya kwetu mkuu!!
kuna tofauti gani kati ya mazingaombwe na uchawi?Kule wanafanya utapeli na nazingaombwe sio uchawi