Mbali na Air France Flight 447(Airbus A330 jet),zilizowahi kupotea ni: -Adam Air(Boeing 737) iliyokuwa operated na Indonesian Airline.Ilipotea Jan 1,2007.Mabaki yalionekana baada ya siku kadhaa,watu wote 102 waliokuwemo walikufa.
-Merpati Nusantara(1995),ilipotea na haikupatikana tena.
-Faucett Airlines(1990)
-Uruguay Air Force(1972)
-Flying Tiger Line(1962)-Lockheed L-1049H Super Constellation.
Hizo ni baadhi tu.