Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 8,102
- 23,690
Mimi sio nabii ila kama Ronaldo hajamsainisha babe mama wake Georgina mkataba wa prenup kulinda assets zake kabla ya kufunga ndoa na mrembo huyo.
Yatamkuta yale ya Birdman kwa mshangazi Toni Braxton au ya mastaa wengine wa kiume.
Birdman alijaa kwenye mfumo. Baada ya kuwa kwenye mahusiano na Toni kwa miaka 16 akaona sasa ni wakati wa kumvisha pete na kufunga naye ndoa.
Kilichomkuta sasa baada tu ya miezi 2 ya ndoa! Toni akafile divorce. Kidogo wafikie kutalikiana bibie achukue kibunda chake ila ndoa imenusurika. Huko alipo Birdman is learning the hard way.
Kama Ronaldo naye atahisi kuwa muda mrefu ambao mrembo Georgina amevumilia kuwa naye kama GF tu na kuzaa naye ni kipimo tosha kwamba amuweke ndani kihalali kama wife awe makini sana.
Modern women are the worst criminals, dont trust them.
Kama bibie Toni kwa Birdman, bidada Georgina knows how to play long game.
Na Ronaldo kama hatapitia modules za Achraf Hakimi, mashabiki zake mjue GOAT wenu anaenda kupotea kama Mr Ki kwa Hamisa.
Kwa terms za usajili tunasema CR7 anakaribia kuingia deal lenye unfavourable terms. Akijichanganya tu ikawa agreed upon 100% done deal, Here we go!
Ronaldo is about to perish. Dont trust women.
Learn or Perish
Yatamkuta yale ya Birdman kwa mshangazi Toni Braxton au ya mastaa wengine wa kiume.
Birdman alijaa kwenye mfumo. Baada ya kuwa kwenye mahusiano na Toni kwa miaka 16 akaona sasa ni wakati wa kumvisha pete na kufunga naye ndoa.
Kilichomkuta sasa baada tu ya miezi 2 ya ndoa! Toni akafile divorce. Kidogo wafikie kutalikiana bibie achukue kibunda chake ila ndoa imenusurika. Huko alipo Birdman is learning the hard way.
Kama Ronaldo naye atahisi kuwa muda mrefu ambao mrembo Georgina amevumilia kuwa naye kama GF tu na kuzaa naye ni kipimo tosha kwamba amuweke ndani kihalali kama wife awe makini sana.
Modern women are the worst criminals, dont trust them.
Kama bibie Toni kwa Birdman, bidada Georgina knows how to play long game.
Na Ronaldo kama hatapitia modules za Achraf Hakimi, mashabiki zake mjue GOAT wenu anaenda kupotea kama Mr Ki kwa Hamisa.
Kwa terms za usajili tunasema CR7 anakaribia kuingia deal lenye unfavourable terms. Akijichanganya tu ikawa agreed upon 100% done deal, Here we go!
Ronaldo is about to perish. Dont trust women.
Learn or Perish