Kwa nini wajane/wagane wanaendelea kuvaa pete za ndoa kwa muda mrefu?

mzeelapa

JF-Expert Member
Jul 14, 2010
1,115
391
Ninavyofahamu mimi wakati wa kufungishwa ndoa wanandoa wanaambiwa ndoa yao ni mpaka kifo kitakapowatenganisha, sasa kwa nini mmoja wao anapofariki anayebaki anaendelea kuvaa pete hiyo kwa muda mrefu?1. Anawafanya wanaomtamani washindwe kumsogelea kwa kufahamu kwamba mume/mke wake yupo2. Anaendelea kuishi kwa majonzi wakati Dini inaruhusu kutafuta na kufunga ndoa nyingine na mtu mwingine3. Wana matumaini kwamba watakutana mbinguni, anajuaje kama bado atakuwa na mapenzi na naye, kwa mfano huku duniani anayebaki akiolewa/akioa mwingine atakayempenda kuliko aliyefariki anadhani atamjali tena? Kwanza atamwambia "mahusiano yetu yalikuwa duniani mkataba wa ndoa ulikwisha duniani baada ya kifo changu, take time pse. usinijue!!"Wafiwa, hasa ambao bado vijana msiishi kwa upweke, tafuteni wenza wengine mapema kwa raha zenu wala msiogope mtu (ila mjihadhari na UKIMWI)
 
Ninavyofahamu mimi wakati wa kufungishwa ndoa wanandoa wanaambiwa ndoa yao ni mpaka kifo kitakapowatenganisha, sasa kwa nini mmoja wao anapofariki anayebaki anaendelea kuvaa pete hiyo kwa muda mrefu?1. Anawafanya wanaomtamani washindwe kumsogelea kwa kufahamu kwamba mume/mke wake yupo2. Anaendelea kuishi kwa majonzi wakati Dini inaruhusu kutafuta na kufunga ndoa nyingine na mtu mwingine3. Wana matumaini kwamba watakutana mbinguni, anajuaje kama bado atakuwa na mapenzi na naye, kwa mfano huku duniani anayebaki akiolewa/akioa mwingine atakayempenda kuliko aliyefariki anadhani atamjali tena? Kwanza atamwambia "mahusiano yetu yalikuwa duniani mkataba wa ndoa ulikwisha duniani baada ya kifo changu, take time pse. usinijue!!"Wafiwa, hasa ambao bado vijana msiishi kwa upweke, tafuteni wenza wengine mapema kwa raha zenu wala msiogope mtu (ila mjihadhari na UKIMWI)
Sorry! Naomba nikurekebishe kidogo. Mbinguni hakuna habari kuoa wala kuolewa, kinachoenda mbinguni siyo mwili bali roho safi. Imeandikwa, binadamu ametokana na mavumbi, na mavumbini sharti atarudi lakini roho iliyo punzi ya Mungu humrudia Mungu. Kwa suala la kuendelea kukaa na pete ya ndoa nadhani si sahihi tena maana imeandika hadi kifo kiwetenganishe.
 
Sorry! Naomba nikurekebishe kidogo. Mbinguni hakuna habari kuoa wala kuolewa, kinachoenda mbinguni siyo mwili bali roho safi. Imeandikwa, binadamu ametokana na mavumbi, na mavumbini sharti atarudi lakini roho iliyo punzi ya Mungu humrudia Mungu. Kwa suala la kuendelea kukaa na pete ya ndoa nadhani si sahihi tena maana imeandika hadi kifo kiwetenganishe.

Asante kwa kunirekebisha. Sasa mbona watu wanaishi kwa matumaini ya kukutana (roho) Mbinguni/paradiso? Tutafufuliwa siku ya mwisho, ok, roho ndio zitakazofufuliwa raha zenyewe tutazipataje au zikoje?
 
Asante kwa kunirekebisha. Sasa mbona watu wanaishi kwa matumaini ya kukutana (roho) Mbinguni/paradiso? Tutafufuliwa siku ya mwisho, ok, roho ndio zitakazofufuliwa raha zenyewe tutazipataje au zikoje?

Soma bibliya
 
Mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa, huko wote ni mabibi harusi si wanaume wala wanawake wote watavaa mashela
 
Kuna miili ya mbinguni ambayo haitofautishi kama huyu ni mwanamke na yule ni mwanaume.
 
Ndoa zao zinakwisha kutokana na sababu za kifo wanakuwa bado wanapendana
 
Baba yangu alifariki siku nyingi hata sisi tulikua tayari ni wakubwa maana wakati mzee anafariki mtoto wa mwisho alikua na 14yrs and I was 18!! Baadae mama alipata mtu mwingine akaolewa na alichokifanya hakuitoa ile Pete ya marehem baba yangu!! Sasa anapete mbili ktk kidole Kimoja!!mie hua sielewi maana yake sijui kwa kumpenda Sana mzee wangu au vip!!
 
Baba yangu alifariki siku nyingi hata sisi tulikua tayari ni wakubwa maana wakati mzee anafariki mtoto wa mwisho alikua na 14yrs and I was 18!! Baadae mama alipata mtu mwingine akaolewa na alichokifanya hakuitoa ile Pete ya marehem baba yangu!! Sasa anapete mbili ktk kidole Kimoja!!mie hua sielewi maana yake sijui kwa kumpenda Sana mzee wangu au vip!!
Huu mtihani!! Kama una ubavu muulize mwenyewe mama halafu utuletee majibu jamvini. Labda Mch. Msigwa kama pia anapitia mtaa huu atujibu. (Hakosi jukwaa la siasa ingawa kwa jina bandia)
 
Am thinking its difficult to let go just yet. I wouldnt wanna be in their shoes kwa kweli.
 
Wajane/wagane wanaendelea kuvaa pete za ndoa kwa kuenzi na kukumbuka mapenzi,fadhila na mema aliyokuwa anayapata kutoka kwa mwenzi wake....kisaikolojia kwa kuendelea kuvaa bado anajifariji kuwa yupo pamoja naye. Km utabahatika kuoa ama kuolewa na mfiwa, jitahidi kumuenga na kummiminia mahaba kuliko mpendwa wake aliyetangulia mbele za haki...Ukifaulu mwenyewe ataivua pete ya awali kwa mkono wake. Vinginevyo umeshindwa kumpa mahaba kiasi cha kukumbuka yaliyopita
 
Sidhani kama kuna tatatizo, Tatizo langu kwa wale wanaovua pete kwenye kidole cha ndoa na kuvaa kwenye vidole vyengine wakiwa sehem sehemu zao, ilihali wapenzi wao wapo hai na wanaishi nao
 
bora'hata'hao'wajane'wengine'wanatalaka'chaajabu'bado'wanaendelea'kuvaa'hizopete
 
Back
Top Bottom