Ninavyofahamu mimi wakati wa kufungishwa ndoa wanandoa wanaambiwa ndoa yao ni mpaka kifo kitakapowatenganisha, sasa kwa nini mmoja wao anapofariki anayebaki anaendelea kuvaa pete hiyo kwa muda mrefu?1. Anawafanya wanaomtamani washindwe kumsogelea kwa kufahamu kwamba mume/mke wake yupo2. Anaendelea kuishi kwa majonzi wakati Dini inaruhusu kutafuta na kufunga ndoa nyingine na mtu mwingine3. Wana matumaini kwamba watakutana mbinguni, anajuaje kama bado atakuwa na mapenzi na naye, kwa mfano huku duniani anayebaki akiolewa/akioa mwingine atakayempenda kuliko aliyefariki anadhani atamjali tena? Kwanza atamwambia "mahusiano yetu yalikuwa duniani mkataba wa ndoa ulikwisha duniani baada ya kifo changu, take time pse. usinijue!!"Wafiwa, hasa ambao bado vijana msiishi kwa upweke, tafuteni wenza wengine mapema kwa raha zenu wala msiogope mtu (ila mjihadhari na UKIMWI)