Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

Baba V

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
19,479
Reaction score
9,546
Ndugu wanajamvi kwa mamlaka niliyopewa na niliyojiongezea mimi mwenyewe nachukua fursa hii kutangaza RASMI ndoa kati ya nitonye na bibie Arabela itakayofanyika siku ya keshokutwa jumamosi tarehe 31/08/2013 huko kijijini kwao Kyabakali mkoani Kagera, Wote mnakaribishwa.

Kwa wale mtakaohudhuria harusini wasiliana na Bishanga na kyanaKyoMuhaya kwa ajili ya usafiri wa ndege ya kukodi hadi kijijini, kwa mlioko Mwanza wasilianeni na charminglady kuna boti ya kukodi pale iko standby, wakati huo KakaKiiza anawasiliana na wakala wa fastjet kwa ajili ya usafiri toka Dar, Arusha na Kilimanjaro.

Kwa sababu za kiusalama zubedayo_mchuzi na Mamndenyi hawataruhusiwa kuhudhuria.

Mtakaohitaji kutoa michango tumeni kwangu mwenyekiti kwa M-Pesa, Tigopesa na Ezypesa..

Wakatabahu
Baba V
The Life chairperson.
 
Last edited by a moderator:
life chairperson Baba V heshima yako,tafadhali hii ndoa iende fasta maana wenye

vijicho ni wengi hum ndani
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
asante sana Heaven on earth kwa ukaribisho...
mi na wife wangu shansarie tutakuwepo hiyo siku...
mwalike na Kongosho pia...
Kongosho nadhani ameshakusikia
Judgment na YNNAH tunapenda kuwaona hio siku
amu ingawa umepotea sana ila kwenye hii usikose

babu Asprin ni nani amekufungia kiasi hiki!!!!!!!
Ruttashobolwa na akanana wake Passion Lady msikose

baba kijacho sosoliso na mama kijacho Paloma ur warmly welcome Paloma kichefu chefu bado kinasumbua
Eli79 najua bado unamfatilia pacha wa my wii Lady doctor sijui harakati zimeishia wapi karibu sana!!!!!!

Ukaribisho bado unaendelea.....
 
wow..tutakuwepo bila kukosa

Hongereni maharusi

kwen fast jet na mie nimo,,,ntakatisha likizo yangu kwa ajili ya tukio hili
shoping ya harusi inakuhusu, viatu. gauni,hereni, mkufu, bila kusahau walet.
 
Back
Top Bottom