Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,207
- 5,990
Huwa sitaki league na watu wajinga kiwango chako,tafuta kwanza ufahamu ndio uje ubishane na mimi.Kusema hivyo umethibitisha nn uchafu wa dubai ya wazungu si tunaona daily wanaoana ww tuliza kishumundu hicho
Mkuu wajinga wajinga hawa hata kuwajibu unawapa heshima,ni wa kupuuzwa tu!!.Acha utumwa wa kidini wewe,hivi wabongo mtaamka lini,uislamu Ni dini ya waarabu wewe mwarabu? Acheni shobo wabongo,kwa hiyo duniani hapa hakuna waarabu mashoga?? Acha ushamba
Tatizo baadhi ya wabongo akili zao za kushikiwa,kushobokea tu tamaduni za watu,afu anajikuta mzalendo kuliko hata waarabu wenyewe,ukimuuliza hapa baba wa Babu yako alikuwa muislamu atabaki anajiuma uma, foolish kabisa Hawa watuMkuu wajinga wajinga hawa hata kuwajibu unawapa heshima,ni wa kupuuzwa tu!!.
Hahaahha wapakistan kumbe ni waarabu?
Jiandae kusachiwa ukirudi maana huko ndio vinara wa unga
Hujajishtukia tu bado kua umegeuka kua kituko kwenye huu uzi? Kwavile wewe ni masikini wa fikra ndio maana unaendelea kuandika matapishi yako hapa,jaribu kuficha ujinga wako kwa kukaa kimya.Tulia kitobo wewe, Mimi nimeenda kwa pesa zangu ki mpango wangu we pimbi endelea kuosha vyombo acha matajiri tule Bata ndezi wewe
Akili zako zimeganda ndio maana unaleta udini kwenye thd isiyohusu udini,kwa kukufungua akili tu,sio kila mwarabu ni muislamu,nenda Lebanon,Iraq,Palestina,Egypt,Syria e.t.c utakuta waarabu ila ni wakristo wengi tu,jifunze vitu kwanza kabla ya kuja kujiaibisha hapa JF,Tatizo baadhi ya wabongo akili zao za kushikiwa,kushobokea tu tamaduni za watu,afu anajikuta mzalendo kuliko hata waarabu wenyewe,ukimuuliza hapa baba wa Babu yako alikuwa muislamu atabaki anajiuma uma, foolish kabisa Hawa watu
Ww mbona bado sana mm mwenyewe naamini ww utakuwa vio mzima kiakili so tulia hatulingani hata iweje japo hunifahamu sikufahamu ila nilipo tu ww hata uongee vp bado upo chini tu potea wwHuwa sitaki league na watu wajinga kiwango chako,tafuta kwanza ufahamu ndio uje ubishane na mimi.
Pakistan siyo warabu kaka....nchi zote zinazoishia na Stan siyo warabuMasaa kadhaa yaliyopita nimewasili hapa Pakistan,asikwambie mtu hakuna maendeleo,barabara mbovu, mazingira machafu ,Kuna mama ntilie wa kiarabu Kila Kona, mazingira ya migahawa machafu,Hawa waarabu wanaishi Bongo, huku kwao Ni maskini vibaya mno, tayari nimekutana na mwenyeji wangu,taarifa na picha zaidi zinakuja..
Sawa.Ww mbona bado sana mm mwenyewe naamini ww utakuwa vio mzima kiakili so tulia hatulingani hata iweje japo hunifahamu sikufahamu ila nilipo tu ww hata uongee vp bado upo chini tu potea ww
SawaSawa.
Nimecheka sana aise hàaaaMkuu achana na hilo jitu,hilo ni dume limo humu kuwadaka wanaoipinga serikali
Wewe ndiye mpumbavu unasema kwamba Kila mtanzania anayeishi abroad Ni mbeba box,ukikoment upumbavu tunakunyosha hapa sio Facebook, upumbavu wako kakomenti Facebook,hoja yangu ya kuishi abroad na kubeba box haujibu unakimbilia kutukana, foolishHujajishtukia tu bado kua umegeuka kua kituko kwenye huu uzi? Kwavile wewe ni masikini wa fikra ndio maana unaendelea kuandika matapishi yako hapa,jaribu kuficha ujinga wako kwa kukaa kimya.
Yale yale... Unaendelea kukomenti mashudu,Sasa kwa akili yako ulifikiri kwamba Mimi sijui kuwa Kuna waarabu wakristo??? Wazazi wako nao wanahesabia kwamba wana mtoto,wamekula hasara Bora wangetumia condom au mzee wako angepiga puli tuAkili zako zimeganda ndio maana unaleta udini kwenye thd isiyohusu udini,kwa kukufungua akili tu,sio kila mwarabu ni muislamu,nenda Lebanon,Iraq,Palestina,Egypt,Syria e.t.c utakuta waarabu ila ni wakristo wengi tu,jifunze vitu kwanza kabla ya kuja kujiaibisha hapa JF,
Haya matapishi uwe unawaandikia wakwenu huko ili wakusome,hapa jf utaonekana kua ni kituko tu,tumia kichwa chako kujifundisha mambo badala ya kukitumia kufugia nywele tu.
Dada naona unatema povu kama mgonjwa wa kifafa! Katafute maembe mabichi huenda yakakusaidia.Wewe ndiye mpumbavu unasema kwamba Kila mtanzania anayeishi abroad Ni mbeba box,ukikoment upumbavu tunakunyosha hapa sio Facebook, upumbavu wako kakomenti Facebook,hoja yangu ya kuishi abroad na kubeba box haujibu unakimbilia kutukana, foolish
Mawazo mgando na akili zako umezifungia ndani ndio maana huelewi kitu,we boya ni kama gari lisilo la breki,linajiendea tu.Yale yale... Unaendelea kukomenti mashudu,Sasa kwa akili yako ulifikiri kwamba Mimi sijui kuwa Kuna waarabu wakristo??? Wazazi wako nao wanahesabia kwamba wana mtoto,wamekula hasara Bora wangetumia condom au mzee wako angepiga puli tu
Tatizo kichwa chako na ubongo wako umejaa mavi, empty kabisa huelewiMawazo mgando na akili zako umezifungia ndani ndio maana huelewi kitu,we boya ni kama gari lisilo la breki,linajiendea tu.
Yale yale hoja ya kubeba box hijibu, ubongo wako umejaa mavi,na hii Nina uhakika 100% umerithi kutoka kwa mama yako mzaziDada naona unatema povu kama mgonjwa wa kifafa! Katafute maembe mabichi huenda yakakusaidia.
Ubongo wako umejaa mavi,sikulaumu wewe namlaumu mama yako mzaziDada naona unatema povu kama mgonjwa wa kifafa! Katafute maembe mabichi huenda yakakusaidia.
Mwanaume rijali hawezi kuongea na kutaja "mavi" bila shaka wewe umezowea kuyaona yakikutoka kwenye ile michezo yako..ngoja Konk master aje na list nyingine kama utachomoka.Ubongo wako umejaa mavi,sikulaumu wewe namlaumu mama yako mzazi