Hatimaye nimetoka jela

Hatimaye nimetoka jela

Wakuu habari zenu

Ni muda mrefu umepita toka nikamatwe kwa kosa la kusingiziwa, nilisingiziwa nimeiba ng'ombe za mfugaji mmoja hivi mtaani, hatimae kesi imeisha na haki kutendeka kwangu, mwizi amepatikana .

Nisiongee mengi ila itoshe tu kusema jela za Tanzania ni mateso. Wamenihukumu bila kosa mimi. Sema sawa tu MUNGU yupo

Badaeni ngoja kwanza nipumzike
Umeikumbuka password yko???
 
Mkuu vipi huko jela umetoka salama?

Duka lako halikuvunjwa?

Maana huko.jela kuna wavunjaji wa maduka ya watu.
 
Wakuu habari zenu

Ni muda mrefu umepita toka nikamatwe kwa kosa la kusingiziwa, nilisingiziwa nimeiba ng'ombe za mfugaji mmoja hivi mtaani, hatimae kesi imeisha na haki kutendeka kwangu, mwizi amepatikana.

Nisiongee mengi ila itoshe tu kusema jela za Tanzania ni mateso. Wamenihukumu bila kosa mimi. Sema sawa tu MUNGU yupo

Badaeni ngoja kwanza nipumzike.
Badaeni ngoja kwanza nipumzike.

Baadeni ndio nini? Kukaa jela ndio kumekufanya usahau kiswahili?
 
Wakuu habari zenu

Ni muda mrefu umepita toka nikamatwe kwa kosa la kusingiziwa, nilisingiziwa nimeiba ng'ombe za mfugaji mmoja hivi mtaani, hatimae kesi imeisha na haki kutendeka kwangu, mwizi amepatikana.

Nisiongee mengi ila itoshe tu kusema jela za Tanzania ni mateso. Wamenihukumu bila kosa mimi. Sema sawa tu MUNGU yupo

Badaeni ngoja kwanza nipumzike.
Nimecheka sana kama mazuri vile... Ila kweli jina lako linasadifu wewe Ni msukule mzembe
 
U
Wakuu habari zenu

Ni muda mrefu umepita toka nikamatwe kwa kosa la kusingiziwa, nilisingiziwa nimeiba ng'ombe za mfugaji mmoja hivi mtaani, hatimae kesi imeisha na haki kutendeka kwangu, mwizi amepatikana.

Nisiongee mengi ila itoshe tu kusema jela za Tanzania ni mateso. Wamenihukumu bila kosa mimi. Sema sawa tu MUNGU yupo

Badaeni ngoja kwanza nipumzike.
Ilikuwa jela muda gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom