Hatimaye nimetoka jela

Hatimaye nimetoka jela

wakuuuuuuuu habari zenu

ni muda mrefu umepita toka nikamatwe kwa kosa la kusingiziwa, nilisingiziwa nimeiba ng'ombe za mfugaji mmoja hivi mtaani, hatimae kesi imeisha na haki kutendeka kwangu, mwizi amepatikana . nisiongee mengi ila itoshe tu kusema jela za tanzania ni mateso. wamenihukumu bila kosa mimi. sema sawa tu MUNGU yupo

badaeni ngoja kwanza nipumzike

😢😢😢
 
wakuuuuuuuu habari zenu

ni muda mrefu umepita toka nikamatwe kwa kosa la kusingiziwa, nilisingiziwa nimeiba ng'ombe za mfugaji mmoja hivi mtaani, hatimae kesi imeisha na haki kutendeka kwangu, mwizi amepatikana . nisiongee mengi ila itoshe tu kusema jela za tanzania ni mateso. wamenihukumu bila kosa mimi. sema sawa tu MUNGU yupo

badaeni ngoja kwanza nipumzike
Pole sana mdau. Duniani hakuna haki, uonezi mwingi. Yote muachie Mungu!
 
Mpaka uhisiwe uliiba ng'ombe na kukamatwa,,kuna shida mahali,
Aidha Kuna namna unavyoishi kwenye hio jamii yako mpaka wakakuhisi, au Kuna namna jamii inavyokuchukulia,,,,

Kwa mantiki hiyo, Moja kwa moja unaweza kuelewa wewe Ni mtu wa aina gani kwenye jamii yako,,, kuanzia life style/standard, kampani zako n.k !

Anyway ndo uanaume!!
 
Jela unaitwa jina lako la kwanza ukiitika naam unachezea kichapo, Kama wewe ukiitwa  Msukule unatakiwa uitike  Mzembe yaan unaitika jina la baba yako.

Nyapala anaheshimika balaa na ana roho mbaya kuliko hata wale askari, kwanza ukiingia tu anakwambia jela sikuombi heshima ila naichukua kwa nguvu

ukiitwa unakimbia alaf unasimama hatua tano kutoka alipo simama Askari na unaongea nae ukiwa umechuchumaa chini

mtaani ukijidai umepinda jela ukiingia adabu inarudi ndani ya dakika mbili tu
 
Mpaka uhisiwe uliiba ng'ombe na kukamatwa,,kuna shida mahali,
Aidha Kuna namna unavyoishi kwenye hio jamii yako mpaka wakakuhisi, au Kuna namna jamii inavyokuchukulia,,,,

Kwa mantiki hiyo, Moja kwa moja unaweza kuelewa wewe Ni mtu wa aina gani kwenye jamii yako,,, kuanzia life style/standard, kampani zako n.k !

Anyway ndo uanaume!!
True..hata kama yey3 sio mwizi lakini itakua.ndio mchora ramani hizo
 
Mimi ni kijana wa hovyoooo mwenye uhovyo wangu hapa LILLE nchini FRANCE nikiwa nasomea urubani.

Ustarabu ni jadi yangu.
kutetema ndo raha yanguuu
pombe ndo maji yangu
wizi ndo tabia yangu

mabibi na mabwana wote tuanze kwa kusema "MAMA AMINA"

AHSANTENI SANA

Usitupotezeee MUDA mkuu,,, Wewe mwenyewe uliandika WIZI ndio tabia yako....

Be a Man,,,kuwa responsible na tabia zako....kwani hujui za mwizi ni 40 tu...
 
asa mimi niibe ili iweje
Achana nae huyo,yeye anazani kila Mtu mwizi!! Mi kuna Shemeji yangu,kakaa barazani kwake,ghafla wakimbiza mwizi wakaanza kumpa ki bano kitakatifu wakizani kua ndiyo mwizi! Bahati nzuri walitokea watu wawili,watatu wakamtetea kua wanamjua!!
 
Anaesema jela ni ya wanaume hayajamkuta! Jela isikie kwa mwenzako tu ma usiombe kuwa mfungwa! Ni mateso unaweza kwenda mzima ukarudi na magonjwa mbalimbali makubwa makubwa.
wengine wanarudi mashoga kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom