On This One
JF-Expert Member
- Nov 30, 2021
- 532
- 471
wakuuuuuuuu habari zenu
ni muda mrefu umepita toka nikamatwe kwa kosa la kusingiziwa, nilisingiziwa nimeiba ng'ombe za mfugaji mmoja hivi mtaani, hatimae kesi imeisha na haki kutendeka kwangu, mwizi amepatikana . nisiongee mengi ila itoshe tu kusema jela za tanzania ni mateso. wamenihukumu bila kosa mimi. sema sawa tu MUNGU yupo
badaeni ngoja kwanza nipumzike
😢😢😢


"
