BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,001
NdioWewe mpare tuuu
NdioWewe mpare tuuu
Ahsante Mama samia, baada ya miaka cta ya taabu hatmaye Leo nmepanda dataja.
Mkuu kwani huu uzi utakuwa wa walimu siyo!....... Maana unauliza anafundisha wapi ikiwa hakuna mahali ameandika kama yeye ni Mchezea vumbi la chaki😃.Wewe unafundisha wapi!?
Umeongezeka mkuu.Na mshahara umeongezeka? Isije kuwa ni kiini macho.
Mkopo nilionao bank unanitesa sana,kwakweli nitakopa mpaka pale nitakapo maliza deni lote.haya wahi bank ukakope sasa au ukatop hapo NMB
Anajua kila mtumishi wa serikali n Mwalimu.Mkuu kwani huu uzi utakuwa wa walimu siyo!....... Maana unauliza anafundisha wapi ikiwa hakuna mahali ameandika kama yeye ni Mchezea vumbi la chaki.
Kukopa kwa sasa ctak mkuu, mpaka nimàlize deni langu ninalodaiwa.haya wahi bank ukakope sasa au ukatop hapo NMB