Lukataluko
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 1,345
- 1,572
Ahsante Rais Mama Samia, baada ya miaka sita ya taabu hatimaye leo nimepanda daraja.
Nashukuru aisee.Hongera mkuu
Nashukuru sana,hongera pia.Hongera sana,mi nlipanda june
Hongera, piga kazi sasaAhsante Mama samia, baada ya miaka cta ya taabu hatmaye Leo nmepanda dataja.
Wewe unafundisha wapi!?Ahsante Mama samia, baada ya miaka cta ya taabu hatmaye Leo nmepanda dataja.
Wewe mpare tuuuCha ajabu nimelipwa ila barua sijapata barua mpaka leo
Ahsante Mama samia, baada ya miaka cta ya taabu hatmaye Leo nmepanda dataja.
Duuuh!Ahsante Mama samia, baada ya miaka cta ya taabu hatmaye Leo nmepanda dataja.