Hatimaye nimempata!

Pole sana mkuu, inaonekana ndo unanifahamu leo.. Pitia nyuzi zangu zote uone halafu fananisha na ulichokiandikaπŸ˜‚πŸ˜‚
Umeongea kwa uchungu, halafu ukute ni mwanaume hovyooooπŸ™ƒπŸ™ƒπŸ€“πŸ˜‚πŸ™Œ
 
Pole sana mkuu, inaonekana ndo unanifahamu leo.. Pitia nyuzi zangu zote uone halafu fananisha na
ulichokiandikaπŸ˜‚πŸ˜‚
Umeongea kwa uchungu, halafu ukute ni mwanaume hovyooooπŸ™ƒπŸ™ƒπŸ€“πŸ˜‚πŸ™Œ
Achana naye huyo. Ungana na Miss Nifah kufurahia mapenzi shata shata na wakaka wazuri wenu!
 
Leejay49 hongera sana na ikawe heri mfikie malengo yenu wewe ni miongoni mwa wanawake naowakubaligi hapa jamvini huna baya na mtu.
 
Yaani nimewaza basi tu yaniπŸ˜‚
Mwanaume akipewa penzi huhisi kupendwa zaidi. Ila mwanamke akihisi kupendwa zaidi ndipo hutoa penzi.

Mimi wangu nilimwambia na kumpa uhuru kwamba simuharakishi.

Akiridhika na mimi anipe tu. Ila kunipa au kunibania haina maana kwamba nitapunguza upendo, ila ajua kwamba na mimi ni muhitaji wa penzi lake.
 
Yeah ni kweli, hajawahi kuulizia hilo suala hata hivyo..but i will be there for him incase☺️☺️
 
Hivi huwaga mnatujaribu auπŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…