Hatimaye nimempata!

Haha..
sawa kaka uliyejikana nafsi, Lee kaweka ili kushea positive vibes and not otherwise..!!

True that, vingine tunanogesha tu uzi...

Sehemu nayoondoka nayo kama key message ni hii...labda na mimi nitaleta uzi wa kumpata SL 😊

But guys tusiache kumuomba Mungu, yaani kama unaweza kufunga hata tatu kavu just do it, inasaidia sana.
 
Ingawa ni mapema mno kuthibitisha yote hayo. Tunakuombea muwe na mwendelezo mwema. Siwaombei mwiaho mwema.kwa sababu mwisho ni kukimbiana.

Mungu awaongoze
 
Penz lina wiki tu ushaanza kuvimba
 
Aseme mapema ili tukimuona kwenye pm zetu tumfukuze

Jamani Missy tusifukuzane...

Si unaona hata Leejay kashaandika kwamba this man sio kwamba yupo perfect...

Hapo alimaanisha hata PM zenu bado anaweza zitembelea 😃

I do love this man na siwezi ficha, amenibadilisha kila kitu ikiwemo mtazamo wangu kwa hawa viumbe wa kuitwa Men. He is not perfect
 
Kwahyo mambo yetu umekuja kutangaza huku JF Leejay49 basi tuachane kwanzia saii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…