Hatimaye nimempata mwanamke mwenye mapenzi ya kweli

Hatimaye nimempata mwanamke mwenye mapenzi ya kweli

Hata ya kwetu yalianza hivyo hivyo, kuulizwa unakula nini, babe usisahau kutega neti usije kuumwa mbu, babe kumbuka kubeba lunch boks yako n.k ila saivi hata simu hapokei.

Muhimu hatukujiua tu pamoja na kutumia gharama nyingi kugharamia penzi.

Wahenga walisema tuwe na Kiasi [emoji119]
Babu nimekumiss big time
 
Wakuu aisee mapenzi matamu Sana nimepita mahusiano zaidi ya 10 hatimaye NIMEMPATA MWANAMKE MWENYE MAPENZI ya kweli,

Kiukweli mahusiano yana mwezi mmoja ila tayari nishanenepa

Wakuu kumbe Kuna wanawake Wana mapenzi ya kweli sio wale majangili wa mapenzi

Huyu mwanamke amenifanya nijione mwenye bahati Dunia mtoto ana care Sana

Na hana tamaa ya pesa
Na ni pisi kinoma ila anajitambua Sana Tena Sana

Nampenda Sana wakuu apa ninavyoandika naona ananipigia simu

Ntarudiiiii[emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Au sio, yetu macho na maskio mkuu utatuletea feedback humu omba tu Mungu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani nilivyosoma tu kichwa Cha habari nikajua ndani nitakutana na neno "HAOMBI HELA"na Kweli sikuwa mbali na utabiri wangu.....
Off course mwanamke asie omba hela huwa anakuwa na ladha fulani hv amazing sana physically to psychologically [emoji39]huwa wanaume hatumuachi we see her different
 
Off course mwanamke asie omba hela huwa anakuwa na ladha fulani hv amazing sana physically to psychologically [emoji39]huwa wanaume hatumuachi we see her different
🤣🤣🤣Mjue Kuna mwenzio anayeombwa...we endelea kusema waoooh u look beautiful
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mjue Kuna mwenzio anayeombwa...we endelea kusema waoooh u look beautiful
Na iwe tu , maana wajinga ndio waliwao apunwe mwngne utamu nipewe mm bila cost that's a true love to me
 
Unadhani anachunwa bure?anamkula demu wako,unadhani ungemhudumia mpenzi wako hiyo loophole ingetoka wapi?
Wanawake kwa tamaa mlizonazo ukikazana kumtimizia mahitaji yake miaka 60 itafika huna hata kibanda cha kujistiri. Kiufupi kila mtu apambane na hali yake.
 
Back
Top Bottom