Muelekeze kabisa amuoe mwezi ujao kabla hajabadilika maana ni swala la muda tuHongera sana mkuu. Muoe kabisa huyo
Mwezi mmoja unakuja kabisa na conclusion kabisaWakuu aisee mapenzi matamu Sana nimepita mahusiano zaidi ya 10 hatimaye NIMEMPATA MWANAMKE MWENYE MAPENZI ya kweli,
Kiukweli mahusiano yana mwezi mmoja ila tayari nishanenepa
Wakuu kumbe Kuna wanawake Wana mapenzi ya kweli sio wale majangili wa mapenzi
Huyu mwanamke amenifanya nijione mwenye bahati Dunia mtoto ana care Sana
Na hana tamaa ya pesa
Na ni pisi kinoma ila anajitambua Sana Tena Sana
Nampenda Sana wakuu apa ninavyoandika naona ananipigia simu
Ntarudiiiii[emoji3526][emoji3526][emoji3526]
KivipiUmecholewa mstari unasubiriwa uuvuke
Wacha tusiseme,ila usiwaamini sana.Wakuu aisee mapenzi matamu Sana nimepita mahusiano zaidi ya 10 hatimaye NIMEMPATA MWANAMKE MWENYE MAPENZI ya kweli,
Kiukweli mahusiano yana mwezi mmoja ila tayari nishanenepa
Wakuu kumbe Kuna wanawake Wana mapenzi ya kweli sio wale majangili wa mapenzi
Huyu mwanamke amenifanya nijione mwenye bahati Dunia mtoto ana care Sana
Na hana tamaa ya pesa
Na ni pisi kinoma ila anajitambua Sana Tena Sana
Nampenda Sana wakuu apa ninavyoandika naona ananipigia simu
Ntarudiiiii[emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Oya hahahaaSwala la muda tu utakuja na uzi kujifanya unamuulizia rafiki ambae katendwa.
Hawa viumbe ni kama kinyonga. Asubuhi anakwambia nakupenda usiku unasikia anaolewa na njemba nyingine.
Penda ila weka akiba mzee baba la sivyo utaishia kumwagilia bustani huku mvua inanyesha.
Kabila gani huyo mpnz wako?Wakuu aisee mapenzi matamu Sana nimepita mahusiano zaidi ya 10 hatimaye NIMEMPATA MWANAMKE MWENYE MAPENZI ya kweli,
Kiukweli mahusiano yana mwezi mmoja ila tayari nishanenepa
Wakuu kumbe Kuna wanawake Wana mapenzi ya kweli sio wale majangili wa mapenzi
Huyu mwanamke amenifanya nijione mwenye bahati Dunia mtoto ana care Sana
Na hana tamaa ya pesa
Na ni pisi kinoma ila anajitambua Sana Tena Sana
Nampenda Sana wakuu apa ninavyoandika naona ananipigia simu
Ntarudiiiii[emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Hakika haombi hela, huyo ni wife material kabisa.🤣🤣🤣Yaani nilivyosoma tu kichwa Cha habari nikajua ndani nitakutana na neno "HAOMBI HELA"na Kweli sikuwa mbali na utabiri wangu.....
😳mhh!Kabila gani huyo mpnz wako?
Ana kazi?
Amesha zaa?
Kutimiza majukumu ni kumbato tu, hayo ya kuombana ombana hela ilihali hatujaoana sio ustaarabu.Ndio kilio Cha wanaume wa Sasa,wakiambiwa watimize majukumu wanasema mwanamke Hana Mapenzi ya dhati.
😳makubwa!🐒Kutimiza majukumu ni kumbato tu, hayo ya kuombana ombana hela ilihali hatujaoana sio ustaarabu.
Naona umeamua kuwa bahili kama Robert Heriel Mtibeli ......Jamanj tupeni hela,we look good on it🥰🥰🥰Kutimiza majukumu ni kumbato tu, hayo ya kuombana ombana hela ilihali hatujaoana sio ustaarabu.
Mwanamke asiyeomba Hela anadumaza akili mndewa,,,chukua Manka uone akili itavyokuwa halali😁Hakika haombi hela, huyo ni wife material kabisa.
Wewe unazungumzia wavulana Ndio wanaweza kuboostiwa na waomba hela Ila sio kwa mwanaumeMwanamke asiyeomba Hela anadumaza akili mndewa,,,chukua Manka uone akili itavyokuwa halali😁