amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
Mimi sijamjadili pascal wa jf, nimeongelea uhalisia nliokutana nao chuoni na alicholeta mada.
Who knows kwamba yeye si miongoni mwao?
Kama Mwenye Jina hilo ndiye Huyu Pascal wa Jf tunampongeza kwa kuhitimu.
Ila hakika niliyo nayo kama ni huyu wa humu hiyo aliamua kusoma tu ili kujiongezea hazina ya digirii zake kwa manufaa yake binafsi.

