Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,566
- 28,527
Nampongeza sana Pasco, kumbe ulikuwa joho bado?Hatimaye ndugu yetu Pascal Mayala baada ya kukomaa kwa muda mrefu na Elimu ya Juu afanikiwa kumaliza shahada ya awali ya Sheria ya Chuo Kikuu Dar es Salaam.
HONGERA SANA MKUU View attachment 937263
Pole pole ndio mwendo.



