mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,106
- 3,158
Mkuu ni wewe nini unayemkomesha ndugu yetu huyuImeandikwa
"Kila mmoja atabeba msalaba wake"
Ila huu msalaba wa mtoa mada ni mzito sana maana wanamchapia pale pale jiran na kwake.
Na kibaya zaidi,
Na maneno ya shombo wanamrushia.
Ni kweli, japokuwa sio sisi wanaume tu hata wanawake moto unawahusu maana hatujit0mbi ukumbukeMkuu huo mchanganyiko naujua huo,unatoaga viumbe wakali.
Kama kweli uzinzi/uesharati ni dhambi asilimia 90 ya wanaume moto unatuhusu
Kibaya zaidi alkua na tabia ya kutafuna mademu wa wenzake kipindi alipokua na pesa.Nimeona mazingira yake kumbe alikuwa mshenzi tu kwa mkewe [emoji28][emoji28][emoji28]
Aisee ndoa ndoanoAsalaam,
Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.
Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.
Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wanna hali gani.
Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.
Sasa amepata mwanaume mwingine na amenidhibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.
Leo nimedhibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.
Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.
Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!
#Mwanamkemkwelinimamayakotuu
Changamoto sana,Hahahah atakula alipopeleka mboga hivi huu umalaya sijui watu wanahangaikaga nn wakati mtu ana mke mzuri [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna ela unaiskilizia eeh?[emoji23][emoji23][emoji23] ila na wewe si unapita mule mule kama jamaa? Si na wewe unasasambua sana mbususu ama?[emoji23][emoji23] muda wako waja pia maaninaaa zenu. Dawa tuwe na pesa tuu tuwaoe
Simpatii picha vile anapitia huu mjadala hapa ana recall matukio huku chozi likilowesha screen ya device anayoitumiaImeandikwa
"Kila mmoja atabeba msalaba wake"
Ila huu msalaba wa mtoa mada ni mzito sana maana wanamchapia pale pale jiran na kwake.
Na kibaya zaidi,
Na maneno ya shombo wanamrushia.
[emoji85]aibu nimeona mimi[emoji23][emoji23] ubaya zaidi ana kibamiaaaaaaaaaa. Na mbinu za kivita anazijua. Chepuko la kimataifa likafanya yakee[emoji23][emoji23]
Nachosemaga..
UKIPENDWA PENDEKAAA
[emoji85][emoji85][emoji1787][emoji1787]Hahahah kiba100 ni msala aisee! Kisha akaamua achepuke dah [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mkuu ni wewe nini unayemkomesha ndugu yetu huyu
Hahahah mzee kakupanga vizuri, ukiwa na hela ukimpora mtu demu wake jua ipo siku utafulia na mwanamke huyo atarudi kwa mumewe utalia kinoma😅😅😅Kibaya zaidi alkua na tabia ya kutafuna mademu wa wenzake kipindi alipokua na pesa.
Na aliemchapia mke wake ni mtu anaemfahamu vilivyo, ndo maana kapata jeuri ya kumrushia shombo.
Baba yangu aliwahi niambia
"Mwanangu kumbuka sana unapokua na kipato kizuri, ogopa sana kuchukua mwanamke wa mtu uliemzidi kipato"[emoji116]View attachment 1827403View attachment 1827404
Umeongea ukweli mtupu, Binafs uliyoyaongea nayaona kwa mke wangu.Kwani mkuu wewe ndo umekamilika? Tatizo lenu ndugu zangu huwa mumejipa ukamilifu sana. Sisi kupewa mioyo ya uvumilivu isiwape upofu. Tunaumiaga sana. Tunainvest kwenu ila nyie munahamisha.
Mtu anapokupiga tafu haimaanishi hana mahitaji yake. Ni huruma tuu na upendo. Na siyo kila mwanamke can offer that. Very few. Na mnavyotuharibu ndo mnatufanyaga tuwe magangsta kweli.. huruma ikishapoteaga ni baasi. Kuna siku utamkosa pia na huyu halaf uanze lalamika wanawake wote takataka tu kumbe wewe ndiye jalala. Pendeka mkuu. Invest kwaajili ya familia yako. Maradhi yapo.
Inapendeza siku moja wewe na mke na wanao mnatola tu kavaccation hata maldives, beach ya portugal huko sijui wapi. Siyo mkabanane kidimbwi daily na milupo.
We jamaa sio mtu mzuri aseeee, utamuua huyu mleta mada maake unagonga nyundo za kichwa[emoji1]Kibaya zaidi alkua na tabia ya kutafuna mademu wa wenzake kipindi alipokua na pesa.
Na aliemchapia mke wake ni mtu anaemfahamu vilivyo, ndo maana kapata jeuri ya kumrushia shombo.
Baba yangu aliwahi niambia
"Mwanangu kumbuka sana unapokua na kipato kizuri, ogopa sana kuchukua mwanamke wa mtu uliemzidi kipato"[emoji116]View attachment 1827403View attachment 1827404
Kakimbia uzi wake mwenyeweAna ujasiri kweliii[emoji23][emoji23] unajua ukawa na kibamia unakua msiri sana kidudu chako unakificha tu maana sisi habari tunapeana[emoji23][emoji23] ila kapata ujasiri.
Mbona kawa kimya ghafla?
Leo hakuna misa mbona jaman kaenda wapi tena
Ndiyo Ukweli Wenyewe[emoji1787] ndio unajua leo kama mwanamke wa kweli ni mama yako tu
Sijamuumbua mkuu,Aisee.. umemuumbua na kapotea mazima [emoji1787][emoji1787]
Huyu hatokei hapa vinginevyo awe ameshaomba Toba kwa Mola wakeMtoa mada simuoni tena akishiriki kwenye uzi wake.
Akuje hapa atubu madhambi yake[emoji3525]
Hii inaitwa REVENGE NA NUSUHahahahahahah kamkomesha
Mkuu mimi kwa wifi yako nakuwa mnyenyekevu balaa,hata akikosea namwelekeza kwa upole naogopa hikihiki uchosemaWanaume wakiwa na hela hawashikii uhuni tu na kutesa wake zao, hafu wakiona wake kimya hujua wamesamehe kumbe wake huvuta tu mda, Sasa mleta mada anajiliza Liza hapa baada ya kulipiziwa, ndio maana twaambiwa usichopenda kufanyiwa Jambo usitendee wengine.