Nimeikubali hiyo "technically" yako. Sasa kwa kukujibu juu ya what's wrong for Mkapa kuwa na hisa katika Kiwira ni suala linalohusu upatikanaji wa hisa hizo. Je, hisa hizo zilikuwa available to Jasusi and Mlenge, au alitumia cheo chake kama rais wa nchi kuzipata? Na kama alitumia cheo chake basi that is what's wrong."When you hear someone saying 'good question' it means he does not have an answer" -- G. U.
Jasusi, ikiwa mkapa ana share au hana ni irrelevant, swali, la kifalsafa, ni kwa nini iwe nongwa Mkapa kuwa na hisa Kiwira? Once we are done with that, we can discuss whether he indeed have hisa or not.
Technically, Benjamin Mkapa anaweza asiwe na hisa Kiwira, ila inawezekana akawa na kampuni / share kwenye kampuni inayomiliki Kiwira. Still the main thing is, what's wrong kwa Mkapa kuwa na hisa Kiwira?
Mlenge