JF Kiboko kweli kama WEAKLEAK, endelea kutujuza nini kinaendelea!!!!!!!!!!!Mh. Freman Mbowe,mwenyeki wa Chadema taifa na mkuu wa upinzani bungeni mchana huu ametinga mahakama ya hakimu mkazi Arusha kujua hatma ya dhamana yake. Anamngojea hakimu mfawidhi kwa ajili ya maelekezo yake.
Huyo hakimu ni mwana-CCM? Maana tatizo kubwa ninaloliona hapo ni vita kati ya CDM na CCM na wala hakuna kitu cha maana hapo kinachostahili kuimbiana nyimbo hizo. Mbowe akihamia ccm kesi zote dhidi yake kwishney
Weka ndani huyo.
Subutu wamweke ndani,safari hii tutavunja gereza iwe uwanja wa ndege au Karanga Moshi
atuliye tu atayamaliza kwani kesi yake hailingani na wezi wa mabilion ya wananchi ambao mpaka sasa wapo
wanaendelea kuyakamua kitaa
Mbona Lissu kaswekwa ndani hamkufanya lolote, loooh kujidai tu.
Haya majina ya kuazima tabu..
fox·y
   [fok-see] Show IPA
–adjective, fox·i·er, fox·i·est.1.of or resembling a fox, esp in craftiness2.smelling strongly like a fox3.of a reddish-brown colour4.(of paper, wood, etc) spotted, esp by mildew5.(of wine) having the flavour of fox grapes6.(of oats) having a musty smell as a result of getting wet,fermenting, and drying out7.
kuongea ukweli wakati mwingine sio vizuri jamani!
Unawashwa wewe...
Mahakimu wote wanatekeleza matakwa ya CCM. Hata Jaji Mkuu alikuwa kwenye Semina Elekezi Dodoma.
Nimegonga 'Like' lakini naona haitoshi! LIKE LIKE LIKE LIKE.........
Kwa faida gani utakayoipata akiwekwa ndani au kwa hasara gani akibaki huru? Endelea kusibiri uteuliwe kwa kiti maalum uwe kitu maalum
Naona una muda mwingi sana wa kukaa hapa sasa chukuwa hiyo kitu usome ili uelimike.
View attachment 31463