TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
kwahiyo watu kufa ni sawa sio?Mnashangilia wakati wenzenu tayari wameshapata kipondo na wengine wamepoteza maisha! Ama kweli watu hamnazo kabisa.
mkuu unajua kuna siku yatafika nyumbani kwako ndio ujue maumivu yake
umeniudhi kweli