Hatimaye Mbeya kumetulia

Mnashangilia wakati wenzenu tayari wameshapata kipondo na wengine wamepoteza maisha! Ama kweli watu hamnazo kabisa.
kwahiyo watu kufa ni sawa sio?
mkuu unajua kuna siku yatafika nyumbani kwako ndio ujue maumivu yake

umeniudhi kweli
 
Wananchi wa Mbeya kweli wamechanganyikiwa. Sugu kweli wameamua kumtambua kama raisi wao!!!......
 
Nyie mnaoshabikia machafuko hayo mnajua madhara ya kufanya biashara mitaani bila kuwa na sehem maalum?kwanza mwny biashara hawezi kupata mkopo kirahs koz alipo ni barabaran,kumbukeni pale kariakoo kongo,pili govt inakosa mapato tatu uhalifu unaongezeka na 4 unplaned city...acheni ushabiki usio na maana.mbeya haina rais coz ule ni mkoa ambao ni sehem ya tanzania na rais wa tz ni jakaya kikwete.

INAUMA! umeukalia mwenyewe kama inauma nyanyuka eebo! ukiongea mtoto wa kiume usibane pua, waagiza sukari wasamehewe kodi wauza bamia ndiyo wawe tegemeo la pato la taifa kwa kodi, dhahabu ilipaswa kugharimia bajeti ya maendeleo wasema wachuuza mnafu vifungu vitatu ndio wanunue vifaru kwa ulinzi wa nchi yetu! vodacom, aitel, tigo, zantel, sasatel .... mpesa, tigopesa, zpesa ..... zingekuwa chanzo sahihi cha mapato kugharimia elimu, afya n.k. unataka wachuuza mbilimbi na hoho ndo wakamuliwe! unakameruniwa wewe siyo bure. we cant relay on trivial income while potential ones roms uncollected.
 
WW kweli kiazi !! Aliyesababisha unplanned city ni nani ? Serikali inakosa mapato na hizo wanazoiba kila siku wanazipata wapi ? Masoko yameungua, badala ya kujenga mnakimbilia dhifa za taifa na mahela ya kujishaua mnazimmoja eti miaka 50 ya uhuru.....hv kweli kuna haja gani ya hayo maonyesho km sio ulaji wa pesa tuuu posho, sare ect..!!

Hizo sera za kukomoa mikoa au majimbo ya upinzani zitawatokea puani wenyewe...!! Hawa watu pia ambao rais anawaokota na kuwapa madaraka km sehemu ya kujipumzikia ni shida pia. Huyu Kandoro wanyalu wenzake kule kalenga walimtosa licha ya kuwa alihonga sana na amekaa pale km DED kwa miaka kadhaa..!!

SS ona mnavyojiabisha, km kweli mna jeuri kwa nn hamkuendelea na mabomu yenu, na kuleta askari hata wa malawi..? Na huyu ni Sugu, toto ya mujini na mtu makini ingawa mlikuwa mnamkandia. Angekuwa yule bitozi uchwara MB wa zamani Mpesya wala wasingemsikiliza..!!Pinda analia lia, usiecheze na PP.....!!
Nyie mnaoshabikia machafuko hayo mnajua madhara ya kufanya biashara mitaani bila kuwa na sehem maalum?kwanza mwny biashara hawezi kupata mkopo kirahs koz alipo ni barabaran,kumbukeni pale kariakoo kongo,pili govt inakosa mapato tatu uhalifu unaongezeka na 4 unplaned city...acheni ushabiki usio na maana.mbeya haina rais coz ule ni mkoa ambao ni sehem ya tanzania na rais wa tz ni jakaya kikwete.
 
Nyie mnaoshabikia machafuko hayo mnajua madhara ya kufanya biashara mitaani bila kuwa na sehem maalum?kwanza mwny biashara hawezi kupata mkopo kirahs koz alipo ni barabaran,kumbukeni pale kariakoo kongo,pili govt inakosa mapato tatu uhalifu unaongezeka na 4 unplaned city...acheni ushabiki usio na maana.mbeya haina rais coz ule ni mkoa ambao ni sehem ya tanzania na rais wa tz ni jakaya kikwete.

imekaa kinadharia zaidi,hao wenye maduka wote wanamikopo?hayo maeneo unayoyasema yametengwa wapi?au ndo dizaini ya kigogo sambusa?haya mambo haitaji kukurupa kinachoonekana hapa ni kandoro kukurupuka kabla ya kufanya maandalizi ya kupata mbadala wa eneo lingine.chakushangaza hayo maeneo ambayo tunaona siyo rasmi manispa zinakusanya ushuru.
 
INAUMA! umeukalia mwenyewe kama inauma nyanyuka eebo! ukiongea mtoto wa kiume usibane pua, waagiza sukari wasamehewe kodi wauza bamia ndiyo wawe tegemeo la pato la taifa kwa kodi, dhahabu ilipaswa kugharimia bajeti ya maendeleo wasema wachuuza mnafu vifungu vitatu ndio wanunue vifaru kwa ulinzi wa nchi yetu! vodacom, aitel, tigo, zantel, sasatel .... mpesa, tigopesa, zpesa ..... zingekuwa chanzo sahihi cha mapato kugharimia elimu, afya n.k. unataka wachuuza mbilimbi na hoho ndo wakamuliwe! unakameruniwa wewe siyo bure. we cant relay on trivial income while potential ones roms uncollected.

mkuu bora wasizikusanye tu coz hatawakikusanya wanazitumia kwa vitu ambavyo cyo vya msingi eti wanaazimisha miaka 50 kama dar inakadiriwa wametumia 1bl kwa hayo maazimisho wakati kuna shule tmk ina wanafunzi zaidi ya 500 na walimu wao wanatumia choo kimoja.
 
Muda huu mbunge wa chadema sugu ametangaza machnga wote kuendelea na biashara baada ya magigano ya siku mbili bahina ya machinga na police. Baada ya kikao kirefu kati ya mkuu wa mkoa, rpc,mbunge,mkurungenzi. Mambo yapo swari na vijana wanashangilia barabara nzima kwa maandamano ya amani........ Hii ni habari njema kwakweli.

hii inakuwa ngumu sana kwa magamba kukubali wanahisi wataipa shavu cdm na sugu.ukweli ni kwamba shavu la cdm kwa kura lipo juu mbaya.wamejikuta wanacheza ngoma isiyo yao.
 
wadau tupieni clip ya hotuba ya mhe.sugu kwa wapiga kura wake!hiyo nyomi imewashtua magamba!
 
Back
Top Bottom