kinacho nikela sana UVCCM ni kuwa baadhi ya Viongozi waliochaguliwa ni walipitishwa kwa nguvu ya viongozi wakubwa ndani ya CCM na viongozi wenye majina makubwa ndani ya CCM kwa dhumini la kuwalinda katika chaguzi ambazo hao viongozi wakubwa watakapo gombea hizo nyadhifa na ndio maana utakuta hawa UVCCM wanakuambia kiongozi fulani ni mzuri sana kumbe hapo ujue kuna jambo na pesa ilipita mlango wa nyuma, Agalieni sana wenyeviti wengi waliochaguliwa si wa wilaya au mikoa ni lazima kuna mkono wa kiongozi mkumbwa wao ni kuangalia akipitishwa A au B ninani atakuwa mtu wa kuwalinda? Wao wanachagua B na wanamwacha A wakijua fika A angechaguliwa wanajichimbia kaburi kabisa kwani A hanamzaha ni yupo kwa ajili ya maendeleo ya vijana na sio kwa ajili ya huyo kigogo kumshangilia ktk uchaguzi wake au kumpigia kampeni katka uchaguzi zake, mifano mizuri ni kwa uchaguzi huu ulipo jirani angalia viongozi wengi ni wale wale na sio viongozi to UVCCM sasa sielewi UVCCM inajijengea nini wakati najua fika wao ndio makamanda wa vita katka kampemi za chaguzi nyingi kwanini wao wasiweke mgombea wao wanemwamini na hato wanyanyasa, Iweje wao wawe watumwa kwa viongozi waliko juu i mean wakubwa??
Inafika mahali UVCCM wanapaswa kuja na KAULI mbiu yao na kujikomboa katika hili la sivyo watakuwa ni watu wa kuburuzwa kila kukicha ndani ya UVCCM na CCM yeneyewe.
UVCCM badilikeni sasa nawambieni muache fitna chuki unafki na roho chafu ndani yenu, zaidi ni nini mpaka mwekeana vinyongo na wivu kati yenu. kwamfano tokea mlivyomaliza chaguzi zenu za kuwachagua W/viti na wajumbe wa baraka kuu na wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya mikoa na taifa siju kama mlisha wahi kaa tena na kujadiri nini Mustakabri wenu wa UVCCM na mwaenda wapi na mwatoka wapi? hakuna hata siku mmoja mwadai labda katiba au kanuni fulani ibadilishwa ni sikuzote ndio muzeee yaanai na elimu yenu yote hamuwezi kukaachini na kujaribu kuweka mabadiliko? ni chama gani au umoja gani usio ona mapungufu au kifungu fulani kibadilishwe? siku zote katiba na kanuni za Umoja wenuziko sawa tu kadri siku ziendavyo no way mwatudanganya kuna lenu jambo ndani ya UVCCM kuweni wawazi na wakweli. Nasema haya kwani najua fika ni Pesa inawafanya mtengane nasi chochote kweli njaaa ni mbaya sana tamaaa nayo haifai siju mwajua neno COUNTRY FIRST au ni basi kila apatae chake basi asi mguse mwenzie.
Kujiuzulu kwa M/kiti mie sishangai sana kwani najua fika ndani yenu kuna watu walitegemea hilo sana na walikuwa wanaliombea sana na hii yote ni nyie wenyewe wasio mwingine mchawi ni nyie na hakuna mchawi wa kutoka nje kaja ati kuwa tibulia ni nafsi zenu na zita wasuta.
MKITAKA SHINDA HII VITA NI KUSIMAMA IMARA NA KUONGEA LUGHA MMOJA NA KUWA NA KAULI MMOJA NA MSHIKAMANO NDIO MTASONGA MBELE