Hatimaye majina ya walioficha pesa Uswisi yaanza kutoka taratibu!

DSC04710-459x600.jpg
 
Mi naona hata kama majina yakitajwa ktk Tv, tusipobadilisha mfumo ni kazi bure tu. Wangapi wameshatajwa kuhusika na madudu mazito na bado wanapeta kwenye ma bangaloo yao? Piga chini chama cha magamba turudishe mambo kwenye mstari. Inatia hasira sana...
 
Member wenzangu wa jf mnafahamu kuwa ni asilimia ndogo sana ya watanzania wanafuatilia habari hizi na mambo ya siasa na wanasiasa kwa ujumla?

Ni vema mkafahamu kuwa watanzania wengi wanafuatilia ligi za ulaya hasa uingereza na kusoma zaidi magezeti ya udaku kama ya kina shigongo tu.Watanzania hawana mwamko kabisa na siasa na matendo ya wanasiasda na ndio maana kila uchaguzi ccm wanashinda.Kuna mamilioni ya watanzania hata hawajui kama kuna mabilioni yamefichwa huko Uswisi na hata wale wanaojua ni wachache tu wanaojali na kufuatili habari hii.

Kero nyingine ni kuwa hata wale wanaojua na kufahamu habari hizi watakwambia eti hata kama wangekuwa ni chadema nao wangeiba tu kwahiyo wao wanaona hakuna haja ya kufanya mabadiliko yoyote.Tena wana kauli moja ya kijinga eti ni bora hawa ccm(magamba) waendelee kuongoza kuliko kuwapa chadema eti wao(chadema) ndio watakuwa na njaa zaidi kwahiyo watafanya ufisadi hata zaidi ya ccm.

Sasa wana jf wakati tunafurahia hawa mafisadi kuumbuliwa ni bora tukafahamu kuwa tuna tatizo kubwa kama watanzania kwa kutokuwa wazalendo na wenye uchungu wa nchi yetu.Watanzania wengi hawaoni uchungu labda mpaka aibiwe hela yake kutoka mfukoni mwake.

Tofauti kubwa ya watanzania na watu wa mataifa mengine ni sisi watanzania kutokuwa wazalendo na kutojali kasbisa wizi na ufisadi wa viongozi.Na hii ndio siri ya ccm kuendelea kushinda chaguzi zinazofanyika hapa nchini.

Tatizo lingine ni ile fikra miongoni mwa watanzania wengi eti kuwa vyama vya upinzani havina viongozi(watu) wa kutosha na wenye uwezo wa kuongoza nchi.Hii ni fikra mbovu sana hasa miongoni mwa wasomi na watanzania wanaoishi mijini.

Fanyeni utafiti mdogo tu na hili mtaliona.
Member wenzangu wa jf mnafahamu kuwa ni asilimia ndogo sana ya watanzania wanafuatilia habari hizi na mambo ya siasa na wanasiasa kwa ujumla?

Ni vema mkafahamu kuwa watanzania wengi wanafuatilia ligi za ulaya hasa uingereza na kusoma zaidi magezeti ya udaku kama ya kina shigongo tu.Watanzania hawana mwamko kabisa na siasa na matendo ya wanasiasda na ndio maana kila uchaguzi ccm wanashinda.Kuna mamilioni ya watanzania hata hawajui kama kuna mabilioni yamefichwa huko Uswisi na hata wale wanaojua ni wachache tu wanaojali na kufuatili habari hii.

Kero nyingine ni kuwa hata wale wanaojua na kufahamu habari hizi watakwambia eti hata kama wangekuwa ni chadema nao wangeiba tu kwahiyo wao wanaona hakuna haja ya kufanya mabadiliko yoyote.Tena wana kauli moja ya kijinga eti ni bora hawa ccm(magamba) waendelee kuongoza kuliko kuwapa chadema eti wao(chadema) ndio watakuwa na njaa zaidi kwahiyo watafanya ufisadi hata zaidi ya ccm.

Sasa wana jf wakati tunafurahia hawa mafisadi kuumbuliwa ni bora tukafahamu kuwa tuna tatizo kubwa kama watanzania kwa kutokuwa wazalendo na wenye uchungu wa nchi yetu.Watanzania wengi hawaoni uchungu labda mpaka aibiwe hela yake kutoka mfukoni mwake.

Tofauti kubwa ya watanzania na watu wa mataifa mengine ni sisi watanzania kutokuwa wazalendo na kutojali kasbisa wizi na ufisadi wa viongozi.Na hii ndio siri ya ccm kuendelea kushinda chaguzi zinazofanyika hapa nchini.

Tatizo lingine ni ile fikra miongoni mwa watanzania wengi eti kuwa vyama vya upinzani havina viongozi(watu) wa kutosha na wenye uwezo wa kuongoza nchi.Hii ni fikra mbovu sana hasa miongoni mwa wasomi na watanzania wanaoishi mijini.

Fanyeni utafiti mdogo tu na hili mtaliona.

Nakuunga mkono kwa asilimia mia + mkuu.nilikuwa mkoa fulani nikajaribu kudodosa dodosa wananchi wa pale juu ya mambo yanayoendelea nchini ambayo yanagusa maisha ya watanzania wote wakiwamo wao,cha ajabu ni majibu niliyopewa,nilichoka.oooh mimi siasa hazinihusu,mara hakuna cha magamba wala upanzani wote ni wamoja,mara between two evil choose the one u have tried before(badala ya choose the one u haven't tried before)mara magamba wanaimarisha amani etc,etc,etc.
Bado watanzania wengi hatuna uzalendo na nchi yetu na hatuelewi kuwa bila ya mtanzania mmoja mmoja kushiriki kwa undani katika siasa za nchi yetu,kamwe haakitabadilika kitu.wengi tunaamini siasa ni mchezo mchafu na kwamba siasa na uongozi wa nchi hii ni jukumu la kikundi kidogo au watu fulani tu.
Wengi wetu hatuoni kama tunaweza au tunatakiwa kuchangia kitu au kutimiza wajibu wetu katika kuhakikisha nchi hii inapiga hatua kubwa mbele,hilo tunaona ni jukumu la watawala wetu na wanasiasa tu,alimradi kuna kucha na kuchwa nasi tunapata kula yetu hata kama ni kwa shida ambazo zinasababishwa na kujiweka pembeni katika ushiriki wa siasa.
Mimi naona jambo kubwa na la msingi ni kuhakikisha wananchi wote wanakuwa na ufahamu wa nini wanapaswa kufanya kwa ajili ya kuwa na tanzania wanayoitaka (tanzania bora) na hili linawezekana kupitia kwa operesheni maalamu kama M4C n.k,zile ambazo zitaenda kwa wananchi ambao hawana access na yanayotokea hapa nchini au hawajui nini cha kufanya au hawana uhakika kama wanaweza kuhusika vipi katika kuleta mabadiliko ya kweli kwa nchi yao.
Kupiga kelele tu kunasaidia bt kwa kiwango gani,na je ni kipi kifanyike kwa watanzania wote ili hatimaye tupate mabadiliko dhidi ya yale yote yanayotufanya tusiende mbele.
Kinachotakiwa ni elimu kwa watanzania wote na hatimaye mjadala wa kitaifa wa nini tufanye.
 
Kila jambo lina mwanzo na mwisho wake. Na mwisho wa mafisadi umekaribia mno. Naona mwanga wa matumaini na Tanzania mpya inakwenda kuzaliwa hivi karibuni
 
Member wenzangu wa jf mnafahamu kuwa ni asilimia ndogo sana ya watanzania wanafuatilia habari hizi na mambo ya siasa na wanasiasa kwa ujumla?

Ni vema mkafahamu kuwa watanzania wengi wanafuatilia ligi za ulaya hasa uingereza na kusoma zaidi magezeti ya udaku kama ya kina shigongo tu.Watanzania hawana mwamko kabisa na siasa na matendo ya wanasiasda na ndio maana kila uchaguzi ccm wanashinda.Kuna mamilioni ya watanzania hata hawajui kama kuna mabilioni yamefichwa huko Uswisi na hata wale wanaojua ni wachache tu wanaojali na kufuatili habari hii.

Kero nyingine ni kuwa hata wale wanaojua na kufahamu habari hizi watakwambia eti hata kama wangekuwa ni chadema nao wangeiba tu kwahiyo wao wanaona hakuna haja ya kufanya mabadiliko yoyote.Tena wana kauli moja ya kijinga eti ni bora hawa ccm(magamba) waendelee kuongoza kuliko kuwapa chadema eti wao(chadema) ndio watakuwa na njaa zaidi kwahiyo watafanya ufisadi hata zaidi ya ccm.

Sasa wana jf wakati tunafurahia hawa mafisadi kuumbuliwa ni bora tukafahamu kuwa tuna tatizo kubwa kama watanzania kwa kutokuwa wazalendo na wenye uchungu wa nchi yetu.Watanzania wengi hawaoni uchungu labda mpaka aibiwe hela yake kutoka mfukoni mwake.

Tofauti kubwa ya watanzania na watu wa mataifa mengine ni sisi watanzania kutokuwa wazalendo na kutojali kasbisa wizi na ufisadi wa viongozi.Na hii ndio siri ya ccm kuendelea kushinda chaguzi zinazofanyika hapa nchini.

Tatizo lingine ni ile fikra miongoni mwa watanzania wengi eti kuwa vyama vya upinzani havina viongozi(watu) wa kutosha na wenye uwezo wa kuongoza nchi.Hii ni fikra mbovu sana hasa miongoni mwa wasomi na watanzania wanaoishi mijini.

Fanyeni utafiti mdogo tu na hili mtaliona.

Nakuunga mkono kwa asilimia mia + mkuu.nilikuwa mkoa fulani nikajaribu kudodosa dodosa wananchi wa pale juu ya mambo yanayoendelea nchini ambayo yanagusa maisha ya watanzania wote wakiwamo wao,cha ajabu ni majibu niliyopewa,nilichoka.oooh mimi siasa hazinihusu,mara hakuna cha magamba wala upanzani wote ni wamoja,mara
between two evil choose the one u have tried before(badala ya choose the one u haven't tried before)mara magamba wanaimarisha amani etc,etc,etc.
Bado watanzania wengi hatuna uzalendo na nchi yetu na hatuelewi kuwa bila ya mtanzania mmoja mmoja kushiriki kwa undani katika siasa za nchi yetu,kamwe haakitabadilika kitu.wengi tunaamini siasa ni mchezo mchafu na kwamba siasa na uongozi wa nchi hii ni jukumu la kikundi kidogo au watu fulani tu.
Wengi wetu hatuoni kama tunaweza au tunatakiwa kuchangia kitu au kutimiza wajibu wetu katika kuhakikisha nchi hii inapiga hatua kubwa mbele,hilo tunaona ni jukumu la watawala wetu na wanasiasa tu,alimradi kuna kucha na kuchwa nasi tunapata kula yetu hata kama ni kwa shida ambazo zinasababishwa na kujiweka pembeni katika ushiriki wa siasa.
Mimi naona jambo kubwa na la msingi ni kuhakikisha wananchi wote wanakuwa na ufahamu wa nini wanapaswa kufanya kwa ajili ya kuwa na tanzania wanayoitaka (tanzania bora) na hili linawezekana kupitia kwa operesheni maalamu kama M4C n.k,zile ambazo zitaenda kwa wananchi ambao hawana access na yanayotokea hapa nchini au hawajui nini cha kufanya au hawana uhakika kama wanaweza kuhusika vipi katika kuleta mabadiliko ya kweli kwa nchi yao.
Kupiga kelele tu kunasaidia bt kwa kiwango gani,na je ni kipi kifanyike kwa watanzania wote ili hatimaye tupate mabadiliko dhidi ya yale yote yanayotufanya tusiende mbele.
Kinachotakiwa ni elimu kwa watanzania wote na hatimaye mjadala wa kitaifa wa nini tufanye.
 
Yangu macho tu kuangalia wanavyotajana. Tusubiri tuone. Ila hili gazeti si la udaku..?
Thibitisha kuwa walichoandika ni uongo. Vinginevyo udaku unatoka wapi? Hii inchi inatakiwa tuwaue hawa mafissadi kwa kuwachoma moto. Kapuya akiwa wizara ya ulinzi alinunua mahelikopta mabovu ambayo baadhi yalianguka na kuua askari wetu.
 
Member wenzangu wa jf mnafahamu kuwa ni asilimia ndogo sana ya watanzania wanafuatilia habari hizi na mambo ya siasa na wanasiasa kwa ujumla?

Ni vema mkafahamu kuwa watanzania wengi wanafuatilia ligi za ulaya hasa uingereza na kusoma zaidi magezeti ya udaku kama ya kina shigongo tu.Watanzania hawana mwamko kabisa na siasa na matendo ya wanasiasda na ndio maana kila uchaguzi ccm wanashinda.Kuna mamilioni ya watanzania hata hawajui kama kuna mabilioni yamefichwa huko Uswisi na hata wale wanaojua ni wachache tu wanaojali na kufuatili habari hii.

Kero nyingine ni kuwa hata wale wanaojua na kufahamu habari hizi watakwambia eti hata kama wangekuwa ni chadema nao wangeiba tu kwahiyo wao wanaona hakuna haja ya kufanya mabadiliko yoyote.Tena wana kauli moja ya kijinga eti ni bora hawa ccm(magamba) waendelee kuongoza kuliko kuwapa chadema eti wao(chadema) ndio watakuwa na njaa zaidi kwahiyo watafanya ufisadi hata zaidi ya ccm.

Sasa wana jf wakati tunafurahia hawa mafisadi kuumbuliwa ni bora tukafahamu kuwa tuna tatizo kubwa kama watanzania kwa kutokuwa wazalendo na wenye uchungu wa nchi yetu.Watanzania wengi hawaoni uchungu labda mpaka aibiwe hela yake kutoka mfukoni mwake.

Tofauti kubwa ya watanzania na watu wa mataifa mengine ni sisi watanzania kutokuwa wazalendo na kutojali kasbisa wizi na ufisadi wa viongozi.Na hii ndio siri ya ccm kuendelea kushinda chaguzi zinazofanyika hapa nchini.

Tatizo lingine ni ile fikra miongoni mwa watanzania wengi eti kuwa vyama vya upinzani havina viongozi(watu) wa kutosha na wenye uwezo wa kuongoza nchi.Hii ni fikra mbovu sana hasa miongoni mwa wasomi na watanzania wanaoishi mijini.

Fanyeni utafiti mdogo tu na hili mtaliona.

Hivi nyie hamjawahi kujiuliza kwanini Inasemekana Tazania ni nchi yenye amani, utulivu na mshikamano? kwa sababu ya (ashakum si matusi) wajinga/wasiona uelewa ni wengi, hivyo hawana uwelewa wa kuhoji mambo na politicians do take advantage of majority ignorance kupiga bao. Kuna post nimesoma kuwa wanawake wasomi ni mzigo katika ndoa, ukweli sio mzigo sema tu wanelewa na wanaweza kuhoji kwanini mume amechelewa kutoka kazini na cm yake ilikuwa imezimwa na alipopiga landline ofisini akaambiwa umetoka mudamrefu ofisini, tofauti na yule std 7 leaver ambaye hawezi kuhoji lolote ataloambiwa fikra zake haziendi mbali ya aliyoambiwa.

Ukweli wanaume hutake advantgage ya wanawake wasio nauelewa kuficha mabo yao binafsi nahivyo kuconclude kuwa wanawake wasio na uelewa wako poa kuliko wasomi, vivyo hivyo upinzani utaendelea kuonekana kero kwa viongozi wabadhilifu serikalini kwasababu ya kuhoji hoji mambo kwa maslahi ya nchi yaani hao wadhilifu wanatamani itungwe sheria ya kufuta vyama vya upinzani nchini.

Na haya matatizo yaliyopo ya ubadhilifu unaoendelea kujitokeza ni kwamba sasa viongozi wameshindwa kuukubali ukweli kuwa sasa kuna watu wanauelewa na wanaweza kuhoji mambo japo wachache sana kina zito na wengine wanaona madudu yamefanywa ila kwa bahati mbaya hawana sehemu ya kuyaibulia.

Ila uzuri ni kuwa with time and strong oppositiona and pressure groups/organisation haya yote itakuwa historia kwani ikishakuwa kwamba sasa watu wote wana uelewa wa kutosha na kwamba kuna accountability. na Ndo maana hatusikii kwamba rais,waziri au kiongozi wa nchi za watu kuwa kajilimbikizia mali kutokana na wizi na inapotokea huwajibika kabla ya kuwajibishwa
 
Back
Top Bottom