mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,169
CHENGE CHENGE CHENGE huyumtu jamani???
Zake labda kaziweka kwenye visiwa vya shelshel.
CHENGE CHENGE CHENGE huyumtu jamani???
Mungu tu ndiye mlinzi wa kweli.Sasa hii mbaya, Zito ana ulinzi?
ila hii habari si ya leo..ina miaka kama 3
Jamaa huyu nijanga la taifaZake labda kaziweka kwenye visiwa vya shelshel.
Kwa hiyo kamanda leo upo upsnde wa ccm hakuna ela zilizofichwa Uswiss? Nyie watu wa ajabu sana.
Mbona Lowassa hayumo au "Whistle blower" wetu hakumaanisha EL naye yumo. Hilo gazeti hayo majina wameyatoa wapi ambako Zito anashindwa kuyapata?
Niliwahi kunong'onezwa kuwa na ayatoullah kaficha za kwake
Alau umenishtua....! Nilidhani na Gerrard yumo kwenye orodha.