Hatimaye Lowassa abomoa hadhi ya CHADEMA

Lowasa aliiba sana akiwa kwenye serikali kwahiyo anapambana ili akalinde maslahi yake na mafisadi wenzake.

Hiki ndo kikubwa anachokitafuta huyu mtu. Anajiona kabisa kuwa hawezi lakini yumo tu, kwanini? Kuna siri nzito imejificha hapo.
 
Hawa UKAWA sidhani kama wanatumia akili zao kufikiri. Nadhani wanatumia masaburi.... wao hata jiwe mwaka huu ni halali yao..
 
IT Team njaa hapo mlipowekwa kuandika porojo dhidi ya Lowasa na UKAWA hamtafanikiwa hata kidogo nyie team njaa mnalala kwa shangazi viroba mnagongea jioni halafu mnamtukana lowasa mtakuwa mashoga labda
 
Mkuu mtoa mada me nmeama CHADEMA kwa ajili ya lowassa hvyo nakuunga mkono asilimia mia
 
Lowasa mwenyewe katika nyakati tofauti kwenye mikutano yake kaonekana kachoka sana kufikia hatua ya kusinzia, hawezi kubeba jukumu zito kama hilo, isitoshe hana agenda mahususi za kulikomboa taifa hili.

Mbona unalalamika kama vile huko Sisiem alikua anakupakata na sasa umeachika?
 
LOWASA ABOMOA HADHI YA CHADEMA:

Mgombea wa nafasi ya uraisi ndio kiini cha kampeni katika chama husika,Kwa mara ya kwanza,taifa la tanzania linashuhudia maajabu ya mgombea wa nafasi ya urais kupitia umoja wa ukawa Ndg:E.lowasa akipigiwa debe kwa asilimia 97% na wapambe wake badala ya kujinadi mwenyewe.

Katika wagombea nafasi ya urais waliojitokeza mwaka huu 2015,Bw. Lowasa ni ni mgombea pekee ambae ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kushindwa hata kujibu shutuma dhidi yake,kueleza sera za chama kwa ufasaha,amekuwa mgombea ambae kwa kiasi kikubwa anatetewa kwa kila jambo na wapambe wake badala ya kujitetea mwenyewe.

Tathimini inayoonekana ni kwamba Chama cha CHADEMA kwa sasa kimepoteza misimamo yake juu ya hoja za upingaji masuala ya ufisadi na rushwa.Agenda hizi zilikuwa zikiibeba kwa kiasi kikubwa chama hicho kiasi hata cha kuweza kupata wabunge wa kutosha bungeni na kuunda kambi ya upinzani kipindi cha bunge la 2010/15. Kupitia ajenda hizo ndipo wakina Mnyika,lisu,msigwa,lemawaliweza kujulikana kwa uhodari wao wa kuongea.Tujiulize wako wapi sasa makamanda hao na kauli zao?

Kwa sasa Chadema wamekuwa kama wakiwa baada ya kuukumbatia ufisadi,chama kimekuwa bubu kiasi cha kinashindwa hata kuzungumza uzaifu wa mgombea wao na juu ya hali yake kiafya ilhali hata kwa macho anaonekana.Watanzania tujiulize?kipi kilichojificha juu ya suala hilo?ni kweli lowasa alitoa fedha kwa mbowe kununua chama ili agombee urais?nini anakiitaji huko ikulu?

Kama wapiga debe wake ndio wenye mamlaka kiasi cha kuzungumza mambo juu yake,akiwa rais nani atakaeongoza nchi?

Kwa dalili hizi lowasa anafaa kweli kupewa nchi?T

Afakari mpiga kura.

Mkuu sisi tunataka sera sio tuhuma kama tuhuma kwasasa angekua kashitakiwa. Duuuuu!!!!! Kweli kazi ipo wabongo sera zavyama amuandi mnaandika tu mtu. Ss tupeni sera sio mtu. Chama nitahasisi sio mtu mumoja.
 
Mkuu sisi tunataka sera sio tuhuma kama tuhuma kwasasa angekua kashitakiwa. Duuuuu!!!!! Kweli kazi ipo wabongo sera zavyama amuandi mnaandika tu mtu. Ss tupeni sera sio mtu. Chama nitahasisi sio mtu mumoja.

Huyo wa kwao anajiuza peke yake...hao waliosema hawatarusu upinzani uende ikulu ni kina nani?au wao hesabu za asilimia zinawakataa!
 
Makolokolo!! Na siye tumehamia cdm KWA ajili ya lowasa! Kwakuwa lowasa ana kipaumbele cha elimu basi mkipata elimu mtajijua na mtaelewa kwanini tunadai mabadiliko!
 
Umeandika upuuzi mtupu. Ukiwa vitani unatumia silaha yotote inayokufaa kwa wakati huo
Kama kaandika upuuzi, ungetakiwa umjibu kwa hoja. Lowassa si fisadi na haumwi hata kidogo anasingiziwa. Na amekimbia ufisadi ccm. Ni mfano ungemwambia na sifa kemkem ili uonyeshe kweli lowasa anafaa bila kukimbilia eti upuuzi mtupu.
Wengi wetu tunajulia humuhumu.
 
Kama taifa kwa sasa anahitajika kiongozi imara mwenye uwezo, uongozi uliotukuka na mwenye mitazamo chanya.
 
BADO.
Ninaiiimaniii na lowaassa....
hoyaaaa... hoyaa.....
ninaaimanii na lowassaa....
hoyaa.. hoyaa....

lowassa kweliii.... kweliiii......

kuanzia DODOMA mpaka ikulu ni must waseme ili. lile IKULU NI MUST. CCM lazima itoke japo sie tulikuwa makada kule Dodoma na wengine bado wapo ccm lakini M4C kura kwa lowassa. ZARAU ATUZITAKI
 
unataka fisadi aingie ikulu ili iweje hatutaki huo ufisadi kafanyeni na mafisadi wenzenu.
achakukalilishwa kama kasuku wewe uffisadi kaiba wapi na shilingi ngapi?ukisikia watu wanaimba na wewe una anzakuimba kama kasuku.
 
wewe inaonekana umetumwa na ccm lakn mm nasema hvi hauta weza hats kidogo wananchi wakitaka mabadiliko kamwe huwezi kuzuia hata kidogo mm nakushauri uachane na hayo masuala
 
Umetombwa vingapi leo wewe dada? Naona buzi lako halijakupa hata cent ndo umekuja na hangover hapa pumbavu wewe! Si mmesema kuwa mtashinda kwa kishindo sasa kelele za nini? Sisi hata ikigombea maiti tutaichagua tu,unadhani kupiga kelele jukwaani ndo maendeleo? Nyie mbwa koko wa ccm mmepiga kelele jukwaani miaka 54 hadi leo mmefanya maendeleo gani? Sasa hivi nitakuwa nawatukana tu maana hakuna namna tena!

....Tuna maisha hata baada ya uchaguzi hata baada ya EK kuwa Raisi au Padlok kuapishwa, mbona hiyo thread ya jamaa haikuwa na matusi.
 
Back
Top Bottom