Mazingira
JF-Expert Member
- May 31, 2009
- 1,833
- 298
Lowasa aliiba sana akiwa kwenye serikali kwahiyo anapambana ili akalinde maslahi yake na mafisadi wenzake.
Hiki ndo kikubwa anachokitafuta huyu mtu. Anajiona kabisa kuwa hawezi lakini yumo tu, kwanini? Kuna siri nzito imejificha hapo.