Hatimaye Lowassa abomoa hadhi ya CHADEMA

Hatimaye Lowassa abomoa hadhi ya CHADEMA

Robethn

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
2,103
Reaction score
354
LOWASA ABOMOA HADHI YA CHADEMA:

Mgombea wa nafasi ya uraisi ndio kiini cha kampeni katika chama husika,Kwa mara ya kwanza,taifa la tanzania linashuhudia maajabu ya mgombea wa nafasi ya urais kupitia umoja wa ukawa Ndg:E.lowasa akipigiwa debe kwa asilimia 97% na wapambe wake badala ya kujinadi mwenyewe.

Katika wagombea nafasi ya urais waliojitokeza mwaka huu 2015,Bw. Lowasa ni ni mgombea pekee ambae ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kushindwa hata kujibu shutuma dhidi yake,kueleza sera za chama kwa ufasaha,amekuwa mgombea ambae kwa kiasi kikubwa anatetewa kwa kila jambo na wapambe wake badala ya kujitetea mwenyewe.

Tathimini inayoonekana ni kwamba Chama cha CHADEMA kwa sasa kimepoteza misimamo yake juu ya hoja za upingaji masuala ya ufisadi na rushwa.Agenda hizi zilikuwa zikiibeba kwa kiasi kikubwa chama hicho kiasi hata cha kuweza kupata wabunge wa kutosha bungeni na kuunda kambi ya upinzani kipindi cha bunge la 2010/15. Kupitia ajenda hizo ndipo wakina Mnyika,lisu,msigwa,lemawaliweza kujulikana kwa uhodari wao wa kuongea.Tujiulize wako wapi sasa makamanda hao na kauli zao?

Kwa sasa Chadema wamekuwa kama wakiwa baada ya kuukumbatia ufisadi,chama kimekuwa bubu kiasi cha kinashindwa hata kuzungumza uzaifu wa mgombea wao na juu ya hali yake kiafya ilhali hata kwa macho anaonekana.Watanzania tujiulize?kipi kilichojificha juu ya suala hilo?ni kweli lowasa alitoa fedha kwa mbowe kununua chama ili agombee urais?nini anakiitaji huko ikulu?

Kama wapiga debe wake ndio wenye mamlaka kiasi cha kuzungumza mambo juu yake,akiwa rais nani atakaeongoza nchi?

Kwa dalili hizi lowasa anafaa kweli kupewa nchi?T

Afakari mpiga kura.
 
LOWASA ABOMOA HADHI YA CHADEMA:

Mgombea wa nafasi ya uraisi ndio kiini cha kampeni katika chama husika,Kwa mara ya kwanza,taifa la tanzania linashuhudia maajabu ya mgombea wa nafasi ya urais kupitia umoja wa ukawa Ndg:E.lowasa akipigiwa debe kwa asilimia 97% na wapambe wake badala ya kujinadi mwenyewe.Katika wagombea nafasi ya urais waliojitokeza mwaka huu 2015,Bw. Lowasa ni ni mgombea pekee ambae ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kushindwa hata kujibu shutuma dhidi yake,kueleza sera za chama kwa ufasaha,amekuwa mgombea ambae kwa kiasi kikubwa anatetewa kwa kila jambo na wapambe wake badala ya kujitetea mwenyewe.Tathimini inayoonekana ni kwamba Chama cha CHADEMA kwa sasa kimepoteza misimamo yake juu ya hoja za upingaji masuala ya ufisadi na rushwa.Agenda hizi zilikuwa zikiibeba kwa kiasi kikubwa chama hicho kiasi hata cha kuweza kupata wabunge wa kutosha bungeni na kuunda kambi ya upinzani kipindi cha bunge la 2010/15. Kupitia ajenda hizo ndipo wakina Mnyika,lisu,msigwa,lemawaliweza kujulikana kwa uhodari wao wa kuongea.Tujiulize wako wapi sasa makamanda hao na kauli zao?Kwa sasa Chadema wamekuwa kama wakiwa baada ya kuukumbatia ufisadi,chama kimekuwa bubu kiasi cha kinashindwa hata kuzungumza uzaifu wa mgombea wao na juu ya hali yake kiafya ilhali hata kwa macho anaonekana.Watanzania tujiulize?kipi kilichojificha juu ya suala hilo?ni kweli lowasa alitoa fedha kwa mbowe kununua chama ili agombee urais?nini anakiitaji huko ikulu?kama wapiga debe wake ndio wenye mamlaka kiasi cha kuzungumza mambo juu yake,akiwa rais nani atakaeongoza nchi?kwa dalili hizi lowasa anafaa kweli kupewa nchi?Tafakari mpiga kura.
Kama huna la kusema sio lazima upost.
 
Umeandika upuuzi mtupu. Ukiwa vitani unatumia silaha yotote inayokufaa kwa wakati huo
 
LOWASA ABOMOA HADHI YA CHADEMA:

Mgombea wa nafasi ya uraisi ndio kiini cha kampeni katika chama husika,kwa mara ya kwanza,taifa la tanzania linashuhudia maajabu ya mgombea wa nafasi ya urais kupitia umoja wa UKAWA Ndg: E. Lowassa akipigiwa debe kwa asilimia 97% na wapambe wake badala ya kujinadi mwenyewe.

Katika wagombea nafasi ya urais waliojitokeza mwaka huu 2015,Bw. Lowassa ni ni mgombea pekee ambae ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kushindwa hata kujibu shutuma dhidi yake,kueleza sera za chama kwa ufasaha,amekuwa mgombea ambae kwa kiasi kikubwa anatetewa kwa kila jambo na wapambe wake badala ya kujitetea mwenyewe.

Tathimini inayoonekana ni kwamba Chama cha CHADEMA kwa sasa kimepoteza misimamo yake juu ya hoja za upingaji masuala ya ufisadi na rushwa.Agenda hizi zilikuwa zikiibeba kwa kiasi kikubwa chama hicho kiasi hata cha kuweza kupata wabunge wa kutosha bungeni na kuunda kambi ya upinzani kipindi cha bunge la 2010/15.

Kupitia ajenda hizo ndipo wakina Mnyika, Lisu, Msigwa, Lema waliweza kujulikana kwa uhodari wao wa kuongea.Tujiulize wako wapi sasa makamanda hao na kauli zao?Kwa sasa CHADEMA wamekuwa kama wakiwa baada ya kuukumbatia ufisadi,chama kimekuwa bubu kiasi cha kinashindwa hata kuzungumza uzaifu wa mgombea wao na juu ya hali yake kiafya ilhali hata kwa macho anaonekana.

Watanzania tujiulize?Kipi kilichojificha juu ya suala hilo?Ni kweli Lowassa alitoa fedha kwa mbowe kununua chama ili agombee urais?Nini anakiitaji huko ikulu?Kama wapiga debe wake ndio wenye mamlaka kiasi cha kuzungumza mambo juu yake,akiwa rais nani atakaeongoza nchi?Kwa dalili hizi Lowassa anafaa kweli kupewa nchi?

Tafakari mpiga kura.
 
LOWASA ABOMOA HADHI YA CHADEMA:

Mgombea wa nafasi ya uraisi ndio kiini cha kampeni katika chama husika,Kwa mara ya kwanza,taifa la tanzania linashuhudia maajabu ya mgombea wa nafasi ya urais kupitia umoja wa ukawa Ndg:E.lowasa akipigiwa debe kwa asilimia 97% na wapambe wake badala ya kujinadi mwenyewe.Katika wagombea nafasi ya urais waliojitokeza mwaka huu 2015,Bw. Lowasa ni ni mgombea pekee ambae ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kushindwa hata kujibu shutuma dhidi yake,kueleza sera za chama kwa ufasaha,amekuwa mgombea ambae kwa kiasi kikubwa anatetewa kwa kila jambo na wapambe wake badala ya kujitetea mwenyewe.Tathimini inayoonekana ni kwamba Chama cha CHADEMA kwa sasa kimepoteza misimamo yake juu ya hoja za upingaji masuala ya ufisadi na rushwa.Agenda hizi zilikuwa zikiibeba kwa kiasi kikubwa chama hicho kiasi hata cha kuweza kupata wabunge wa kutosha bungeni na kuunda kambi ya upinzani kipindi cha bunge la 2010/15. Kupitia ajenda hizo ndipo wakina Mnyika,lisu,msigwa,lemawaliweza kujulikana kwa uhodari wao wa kuongea.Tujiulize wako wapi sasa makamanda hao na kauli zao?Kwa sasa Chadema wamekuwa kama wakiwa baada ya kuukumbatia ufisadi,chama kimekuwa bubu kiasi cha kinashindwa hata kuzungumza uzaifu wa mgombea wao na juu ya hali yake kiafya ilhali hata kwa macho anaonekana.Watanzania tujiulize?kipi kilichojificha juu ya suala hilo?ni kweli lowasa alitoa fedha kwa mbowe kununua chama ili agombee urais?nini anakiitaji huko ikulu?kama wapiga debe wake ndio wenye mamlaka kiasi cha kuzungumza mambo juu yake,akiwa rais nani atakaeongoza nchi?kwa dalili hizi lowasa anafaa kweli kupewa nchi?Tafakari mpiga kura.

Umemaliza huo ndo ukweli mwenye kuelewa kaelewa
 
lowasa abomoa hadhi ya chadema:

Mgombea wa nafasi ya uraisi ndio kiini cha kampeni katika chama husika,kwa mara ya kwanza,taifa la tanzania linashuhudia maajabu ya mgombea wa nafasi ya urais kupitia umoja wa ukawa ndg:e.lowasa akipigiwa debe kwa asilimia 97% na wapambe wake badala ya kujinadi mwenyewe.katika wagombea nafasi ya urais waliojitokeza mwaka huu 2015,bw. Lowasa ni ni mgombea pekee ambae ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kushindwa hata kujibu shutuma dhidi yake,kueleza sera za chama kwa ufasaha,amekuwa mgombea ambae kwa kiasi kikubwa anatetewa kwa kila jambo na wapambe wake badala ya kujitetea mwenyewe.tathimini inayoonekana ni kwamba chama cha chadema kwa sasa kimepoteza misimamo yake juu ya hoja za upingaji masuala ya ufisadi na rushwa.agenda hizi zilikuwa zikiibeba kwa kiasi kikubwa chama hicho kiasi hata cha kuweza kupata wabunge wa kutosha bungeni na kuunda kambi ya upinzani kipindi cha bunge la 2010/15. Kupitia ajenda hizo ndipo wakina mnyika,lisu,msigwa,lemawaliweza kujulikana kwa uhodari wao wa kuongea.tujiulize wako wapi sasa makamanda hao na kauli zao?kwa sasa chadema wamekuwa kama wakiwa baada ya kuukumbatia ufisadi,chama kimekuwa bubu kiasi cha kinashindwa hata kuzungumza uzaifu wa mgombea wao na juu ya hali yake kiafya ilhali hata kwa macho anaonekana.watanzania tujiulize?kipi kilichojificha juu ya suala hilo?ni kweli lowasa alitoa fedha kwa mbowe kununua chama ili agombee urais?nini anakiitaji huko ikulu?kama wapiga debe wake ndio wenye mamlaka kiasi cha kuzungumza mambo juu yake,akiwa rais nani atakaeongoza nchi?kwa dalili hizi lowasa anafaa kweli kupewa nchi?tafakari mpiga kura.

wewe ni mjinga kabisa.
Hujui maidhui ya kuanzishwa kwa chadema...
Hao unaowataja wako kwenye kampeni ....fuatilia kampeni zao.
Ujinga wako unakutuma vitu tofauti kabisa.
Mheshimiwa e.lowassa ana team ya kumpigia kampeni?
Magufuli ndiye mwenye team ya vibaka 32....ya kumnadi.
..........................viva ukawa...........................
 
Lowasa aliiba sana akiwa kwenye serikali kwahiyo anapambana ili akalinde maslahi yake na mafisadi wenzake.
 
LOWASA ABOMOA HADHI YA CHADEMA:

Mgombea wa nafasi ya uraisi ndio kiini cha kampeni katika chama husika,Kwa mara ya kwanza,taifa la tanzania linashuhudia maajabu ya mgombea wa nafasi ya urais kupitia umoja wa ukawa Ndg:E.lowasa akipigiwa debe kwa asilimia 97% na wapambe wake badala ya kujinadi mwenyewe.Katika wagombea nafasi ya urais waliojitokeza mwaka huu 2015,Bw. Lowasa ni ni mgombea pekee ambae ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kushindwa hata kujibu shutuma dhidi yake,kueleza sera za chama kwa ufasaha,amekuwa mgombea ambae kwa kiasi kikubwa anatetewa kwa kila jambo na wapambe wake badala ya kujitetea mwenyewe.Tathimini inayoonekana ni kwamba Chama cha CHADEMA kwa sasa kimepoteza misimamo yake juu ya hoja za upingaji masuala ya ufisadi na rushwa.Agenda hizi zilikuwa zikiibeba kwa kiasi kikubwa chama hicho kiasi hata cha kuweza kupata wabunge wa kutosha bungeni na kuunda kambi ya upinzani kipindi cha bunge la 2010/15. Kupitia ajenda hizo ndipo wakina Mnyika,lisu,msigwa,lemawaliweza kujulikana kwa uhodari wao wa kuongea.Tujiulize wako wapi sasa makamanda hao na kauli zao?Kwa sasa Chadema wamekuwa kama wakiwa baada ya kuukumbatia ufisadi,chama kimekuwa bubu kiasi cha kinashindwa hata kuzungumza uzaifu wa mgombea wao na juu ya hali yake kiafya ilhali hata kwa macho anaonekana.Watanzania tujiulize?kipi kilichojificha juu ya suala hilo?ni kweli lowasa alitoa fedha kwa mbowe kununua chama ili agombee urais?nini anakiitaji huko ikulu?kama wapiga debe wake ndio wenye mamlaka kiasi cha kuzungumza mambo juu yake,akiwa rais nani atakaeongoza nchi?kwa dalili hizi lowasa anafaa kweli kupewa nchi?Tafakari mpiga kura.

Kama angekuwa dhaifu sifikirii kama ungeandika hata huu uzi wako. Haya katawaze uendelee na masomo.
 
wewe ni mjinga kabisa.
Hujui maidhui ya kuanzishwa kwa chadema...
Hao unaowataja wako kwenye kampeni ....fuatilia kampeni zao.
Ujinga wako unakutuma vitu tofauti kabisa.
Mheshimiwa e.lowassa ana team ya kumpigia kampeni?
Magufuli ndiye mwenye team ya vibaka 32....ya kumnadi.
..........................viva ukawa...........................

Umesoma alichokiandika ila ujaelewa na hili ndio tatizo lenu
 
LOWASA ABOMOA HADHI YA CHADEMA:

Mgombea wa nafasi ya uraisi ndio kiini cha kampeni katika chama husika,Kwa mara ya kwanza,taifa la tanzania linashuhudia maajabu ya mgombea wa nafasi ya urais kupitia umoja wa ukawa Ndg:E.lowasa akipigiwa debe kwa asilimia 97% na wapambe wake badala ya kujinadi mwenyewe.Katika wagombea nafasi ya urais waliojitokeza mwaka huu 2015,Bw. Lowasa ni ni mgombea pekee ambae ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kushindwa hata kujibu shutuma dhidi yake,kueleza sera za chama kwa ufasaha,amekuwa mgombea ambae kwa kiasi kikubwa anatetewa kwa kila jambo na wapambe wake badala ya kujitetea mwenyewe.Tathimini inayoonekana ni kwamba Chama cha CHADEMA kwa sasa kimepoteza misimamo yake juu ya hoja za upingaji masuala ya ufisadi na rushwa.Agenda hizi zilikuwa zikiibeba kwa kiasi kikubwa chama hicho kiasi hata cha kuweza kupata wabunge wa kutosha bungeni na kuunda kambi ya upinzani kipindi cha bunge la 2010/15. Kupitia ajenda hizo ndipo wakina Mnyika,lisu,msigwa,lemawaliweza kujulikana kwa uhodari wao wa kuongea.Tujiulize wako wapi sasa makamanda hao na kauli zao?Kwa sasa Chadema wamekuwa kama wakiwa baada ya kuukumbatia ufisadi,chama kimekuwa bubu kiasi cha kinashindwa hata kuzungumza uzaifu wa mgombea wao na juu ya hali yake kiafya ilhali hata kwa macho anaonekana.Watanzania tujiulize?kipi kilichojificha juu ya suala hilo?ni kweli lowasa alitoa fedha kwa mbowe kununua chama ili agombee urais?nini anakiitaji huko ikulu?kama wapiga debe wake ndio wenye mamlaka kiasi cha kuzungumza mambo juu yake,akiwa rais nani atakaeongoza nchi?kwa dalili hizi lowasa anafaa kweli kupewa nchi?Tafakari mpiga kura.
Madhumuni ya chama chochote cha siasa ni kushika dola edo ni silaha sahihi ya kuipeleka peoplessssssssssss ikulu then tuwafundishe chama choo utawala bora.
 
Ukweli mnaupata lakini sema vichwa vinakuwa vigumu kuelewa mnahitaji elimu ya ziada kwa ajili ya kujitambua.
 
huwezi ukawa unahubili ufisad kila mwaka na unataka lowasa ajibu tuhuma zip zaidi?ua ulisha zoea propaganda za ccm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom