Hatimaye ICC kutua nchini - MwanaHALISI

Hatimaye ICC kutua nchini - MwanaHALISI

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,144
Reaction score
56,411
Mahakama ya kisheria ya Kimataifa inayohusika kusikiliza na kutoa hukumu kwa kesi za jinai ICC, kupitia Baraza la Wanasheria wake limeviambia vyombo vya habari kuwa litafika Tanzania kuanza uchunguzi na kukusanya ushahidi wa matukio yote muhimu yaliyotokea kabla na baada ya tarehe 29/10/2025.

HBeC-KDWUAA5pTY.jpeg
 
nani anataka bima ya kipuuzi kama hio?
nyie machawa inawafaa na familia zenu..
Mama yako na baba yako we kibaka unakunwa visungura kama Heche na kuanza kutukana hovyo mitandaoni utaweza kuwahudumia watakapoanza kuugua mara miguu, pressure, Ukimwi, kisukari?
 
ICC hawaji Tanzania kama wewe unavyokwenda ferry kununua samaki, wanazo taratibu zao za kazi.

Jifunzeni kuheshimu dola hamuwezi kuleta ujinga halafu mkaendelea kuchekewa,.

Mamlaka ya nchi lazima yaheshimike kwa raia wote.
Sisi kazi yetu ni nyepesi sana kuwaletea ujumbe, kazi yenu kubwa mliyonayo ni kukanusha.
 
ICC hawaji Tanzania kama wewe unavyokwenda ferry kununua samaki, wanazo taratibu zao za kazi.

Jifunzeni kuheshimu dola hamuwezi kuleta ujinga halafu mkaendelea kuchekewa,.

Mamlaka ya nchi lazima yaheshimike kwa raia wote.
Humu kumejaa ujinga mwingi sana sababu wengi humu wapumbavupumbavu
Hao ICC wakikataliwa visa wana nini cha kufanya zaidi ya kulopolopo
 
Back
Top Bottom