Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
ama kweli shuzi limepata mjambaji
GTesha hapa mi sijaelewa vizuri, unasema Mjambaji kapata shuzi ? Au?
ama kweli shuzi limepata mjambaji
MarhabaaaNew Mod!
Mzee Shkamoo, mzee nisamehe kama utaona nimeandika abuse language!
Usinifute Jeiefu mzee!
Narudia mzee shkamoo kwa wa nyumbani kwako wote, hata beki3 wako nae shkamoo!
Usinipige ban.
New Mod!
Mzee Shkamoo, mzee nisamehe kama utaona nimeandika abuse language!
Usinifute Jeiefu mzee!
Narudia mzee shkamoo kwa wa nyumbani kwako wote, hata beki3 wako nae shkamoo!
Usinipige ban.
mh.mabwaku jooob true true! una hamu na ngoma weye halooooo o o o o o o . . .
Shem wangu beibe nasty mumeo ana wog hadi ananiamkia mdogo wake...Umeanza lin tabia yakuamkia wanaume wenzio?hun hakuna ban hapa
Najua hii sio habari njema kwa baadhi ya watu ila habari ndio hiyo!
Onyo kwa wafuatao: Asprin Kaizer BAGAH Nicas Mtei Bishanga Young Master Judgement Smiling Saint platozoom @sobhuza Katavi Ruhazwe JR junior.cux Baba V The Boss TANMO mtu chake @Figga Nigga Saint Ivuga
Naomba msiingie anga zangu....Ntawamaliza
N.B Changu ni Changu Chako ni Changu full stop
Nanyinyi BADILI TABIA sweetlady cacico Remmy Erotica Kipipi Kongosho Cantalisia Kaunga Mwali phina Yummy YNNAH Roulette charminglady Zinduna The secretary Mamndenyi afrodenzi FirstLady1 Madame B CUTE Preta beibe nasty Smile
Onyo:Umbea na majungu sitaki kusikia wala kugombea wanaume,labda mnigombee mimi tu!
Salamu kwa bibie Amyner msaidizi wangu wa kudunga Ban kwa watukutu wa Chit Chat
Hahahahaa charminglady ukijaribu tu kuitisha ngoma utakula life ban uje na jina jingine la CharmingWoman ooh shauri yakomh.mabwaku jooob true true! una hamu na ngoma weye halooooo o o o o o o . . .
Shem wangu beibe nasty mumeo ana wog hadi ananiamkia mdogo wake...
Lol shem nipe hongera basi
Najua hii sio habari njema kwa baadhi ya watu ila habari ndio hiyo!
Onyo kwa wafuatao: Asprin Kaizer BAGAH Nicas Mtei Bishanga Young Master Judgement Smiling Saint platozoom @sobhuza Katavi Ruhazwe JR junior.cux Baba V The Boss TANMO mtu chake @Figga Nigga Saint Ivuga
Naomba msiingie anga zangu....Ntawamaliza
N.B Changu ni Changu Chako ni Changu full stop
Nanyinyi BADILI TABIA sweetlady cacico Remmy Erotica Kipipi Kongosho Cantalisia Kaunga Mwali phina Yummy YNNAH Roulette charminglady Zinduna The secretary Mamndenyi afrodenzi FirstLady1 Madame B CUTE Preta beibe nasty Smile
Onyo:Umbea na majungu sitaki kusikia wala kugombea wanaume,labda mnigombee mimi tu!
Salamu kwa bibie Amyner msaidizi wangu wa kudunga Ban kwa watukutu wa Chit Chat
Hahahahaa ila ukinichana mimi live inakula kwako siunajua police yangu...mahakama yangu na dola zote zanguumenionea mbona mie majungu sina namchana mtu live.halafu huwa sina habari na wame za watu mi huwa na deal na mabachela tu huwa sipendi kugombea waume
Hahahahaa charminglady ukijaribu tu kuitisha ngoma utakula life ban uje na jina jingine la CharmingWoman ooh shauri yako
Hahahahaa charminglady ukijaribu tu kuitisha ngoma utakula life ban uje na jina jingine la CharmingWoman ooh shauri yako
Hahahahaa ila ukinichana mimi live inakula kwako siunajua police yangu...mahakama yangu na dola zote zangu
Acha mchezo lol