Hatimaye Chombo cha anga za mbali cha waarabu kimefika salama eneo la Orbit

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,749
21,202
Afrika bado sana, wakati serikali zetu zinapuyanga kwenye siasa za kuumiza wananchi wake na kufikilia kumuweka mtawala afie madaraka wengine wanasafiri.

MADA:
Nimekuwa nafuatilia hawa waarabu kwenye hili jambo la kurusha chombo cha anga za mbali, pamoja na kuwatumia baadhi ya wazungu ila kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa.

Muda mfupi uliopita nikiwa nafuatilia updates za safari ya chombo hicho hakika wametengeneza historia, chombo cha delta v kimeachana na Hopeprobe ili kuendelea na safari yake iliyokuwa ya kasi ya 121,000km kwa saa na kupungua mpaka 18,000km/h ili kuweza kufanya utafiti.

Nimehisi kitu flani kuangalia tukio hili kwa waarabu hao jinsi walivyokuwa na furaha sana, wakipokea pongezi kutoka kwa wadau mbalimbali wakiwemo spaceX mnayojua inamilikiwa na nani.

Ni rasmi sasa katika safari ya awamu ya pili kuingia eneo la Mars.

Wakiwa tweeter👇🏾walikuwa wakitoa updates za kile kilichokjwa kikiendelea.



Na kutokea kwenye live streaming updates ya YouTube ilikuwa hapa 👇🏾.

 
Kila hatua dua,unataka turuke hatua zilizopo au? Kwasasa tunapiga nyungu huku tukijenga barabara za juu. Tukimalizana na watoto kukaa chini madarasani, malaria na kipindupindu, tukahakikisha kila nyumba wanatumia choo, maji safi na salama sio gumzo tena, umeme na magari yasiwe luxuries, matibabu yakipatikana kwa urahisi na uhakika, tukapunguza ulafi wa mali za umma na ubinafsi, uwajibikaji na uzalendo vikawepo, umelo wa madaraka ukakomeshwa, mikataba ya ovyo kufutwa na uongo wa wanaojiita wanasiasa na wapinzani.

Tukiweza kukuza kilimo bila kutumia madude ya kukuzia ya kisasa wala mbegu za kisasa za muda mfupi, kumiliki vilivyo vyetu kama madini, gesi , ardhi n.k, tukawekeza kwenye elimu bora, sayansi na tafiti. Tukayaelewa vyema mazingira yanayotuzunguka na tukajua jinsi ya kuyatumia na kunufaika nayo, HAPO sasa tutakuwa tumemaliza hatua nyingi bila kuruk ILI tuweze kufikiria kurusha mavitu angani.

Smart phone na internet yenyewe unatumia facebook, insta, WhatsApp na youtube kuangalia SUKARI, urushe rocket kwenda Mars ilihali Dodoma tu hapo tunafika kwa shida mvua ikichachamaa
 
waarabu ni wenzetu tu mbona wanapenda makuu hivyo
Mkuu waarabu na waafrika weusi wala hawajuani na wala hawana ukaribu wowote dini zisikuchanganye.

Ukweli mchungu ni kwamba hao waarabu wametuacha mbali sana.
Hayo mengine ni kujifariji ili kutobaki alone kwenye huu mshimo mweusi uliojaa ujinga hivyo tunajaribu kuwavuta ndani wanaotaka kutoka nje badala ya sisi kutoka wenyewe au kuomba kuvutwa juu baada ya wao kutoka nje ya huu mshimo.
 
Mkuu nimekuelewa sana, jambo moja la msingi hizo hatua ulizotaja hapo kuzifukia hata robo yake ni safari siyo ya kitoto, mfano watoto kutokukaa chini, hiyo inaweza kuchukua miaka 50 mbele kumalizika.

That's why unaona mambo ya uongozi tu ndani ya 60yrs bado hayajakaa sawa, mwingine anaondoka mwingine anakuja anataka kufia madarakani, nk.

Hao jamaa waliweka lengo miaka kadhaa huko nyuma kuwa lazima tufike mars, jana kwa kuandika historia wamefika sehemu ambayo hawakutaraji.

Kila hatua dua,unataka turuke hatua zilizopo au? Kwasasa tunapiga nyungu huku tukijenga barabara za juu. Tukimalizana na watoto kukaa chini madarasani, malaria na kipindupindu, tukahakikisha kila nyumba wanatumia choo, maji safi na salama sio gumzo tena, umeme na magari yasiwe luxuries, matibabu yakipatikana kwa urahisi na uhakika, tukapunguza ulafi wa mali za umma na ubinafsi, uwajibikaji na uzalendo vikawepo, umelo wa madaraka ukakomeshwa, mikataba ya ovyo kufutwa na uongo wa wanaojiita wanasiasa na wapinzani.

Tukiweza kukuza kilimo bila kutumia madude ya kukuzia ya kisasa wala mbegu za kisasa za muda mfupi, kumiliki vilivyo vyetu kama madini, gesi , ardhi n.k, tukawekeza kwenye elimu bora, sayansi na tafiti. Tukayaelewa vyema mazingira yanayotuzunguka na tukajua jinsi ya kuyatumia na kunufaika nayo, HAPO sasa tutakuwa tumemaliza hatua nyingi bila kuruk ILI tuweze kufikiria kurusha mavitu angani.

Smart phone na internet yenyewe unatumia facebook, insta, WhatsApp na youtube kuangalia SUKARI, urushe rocket kwenda Mars ilihali Dodoma tu hapo tunafika kwa shida mvua ikichachamaa
 
Dubai wana project ya hyperloop train.Wana project ya gari la umeme wana loroject ya flying tax.Wanategemea mafuta na biashara ila wametuacha maendeleo.Si dhani kama Dubai wana rasilimali kama zetu TZ kuanzia wingi wa maji,misitu madini ardhi ya kulima,mifugo nk
 
Naomba kuuliza swali yeyote anijibu

Hivi why inakua rahis kutuma vifaa mars more than 35 millions kilometers Tena kwa miezi 6 na inakua ngumu kutuma vifaa au kufika kwenye mwezi Tena kwa speed ya km 120,000/h Ni siku 3 mpaka 4 naomba mwenye kujua anijibu wakuu

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Naomba kuuliza swali yeyote anijibu

Hivi why inakua rahis kutuma vifaa mars more than 35 millions kilometers Tena kwa miezi 6 na inakua ngumu kutuma vifaa au kufika kwenye mwezi Tena kwa speed ya km 120,000/h Ni siku 3 mpaka 4 naomba mwenye kujua anijibu wakuu

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Mkuu mwezini hakuna mtu amewahi kufika,hivyo sio tu ni ngumu ila hakuna alowahi kufika huko,wanaodai wamefika wanaleta ujanja ujanja tu.

Sababu ya msingi sina ila nikitazama mwezi kwa macho ya nyama haya,napata hisia kuwa pale hakuna mtu anaweza fika
 
Mkuu mwezini hakuna mtu amewahi kufika,hivyo sio tu ni ngumu ila hakuna alowahi kufika huko,wanaodai wamefika wanaleta ujanja ujanja tu.

Sababu ya msingi sina ila nikitazama mwezi kwa macho ya nyama haya,napata hisia kuwa pale hakuna mtu anaweza fika
Mwaka 2019 chombo ya INDIA SPACE RESEARCH ORGANIZATION ilipoteza mawasiliano ikiwa kwenye orbit ya mwezi na Hadi leo kifaa hiko kinatafutwa tangu 2019 Hadi leo hakuna alopata mawasiliano yake na mwana anga mmoja wa marekani (NASA) alisema kwenda kwenye mwezi Ni painful process ndo Mimi najiuliza hii habari ya kwenda kwenye mars naona niache kiherehere nikae kimya

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mwezini hakuna mtu amewahi kufika,hivyo sio tu ni ngumu ila hakuna alowahi kufika huko,wanaodai wamefika wanaleta ujanja ujanja tu.

Sababu ya msingi sina ila nikitazama mwezi kwa macho ya nyama haya,napata hisia kuwa pale hakuna mtu anaweza fika
yaani una uhakika na pia waliofika unasema wanafanya ujanja ujanja.
okay una scientific proof kwamba hawajahi fika?
 
yaani una uhakika na pia waliofika unasema wanafanya ujanja ujanja.
okay una scientific proof kwamba hawajahi fika?
Hapo hakuna sayansi mkuu,hakuna alofika mwezini mpaka sasa.waliojidai kufika ni vitu vingi walishindwa kuthibitisha
 
Hapo hakuna sayansi mkuu,hakuna alofika mwezini mpaka sasa.waliojidai kufika ni vitu vingi walishindwa kuthibitisha
proof huna. bado unadai hawajafika. science demand proof and experiments. sio blah blah..
 
Naomba kuuliza swali yeyote anijibu

Hivi why inakua rahis kutuma vifaa mars more than 35 millions kilometers Tena kwa miezi 6 na inakua ngumu kutuma vifaa au kufika kwenye mwezi Tena kwa speed ya km 120,000/h Ni siku 3 mpaka 4 naomba mwenye kujua anijibu wakuu

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Mars ni kmzaidi ya milion205 umbali wa sasa
 
proof huna. bado unadai hawajafika. science demand proof and experiments. sio blah blah..
Hakuna aliethibitisha kufika huko,wote wanaongelea nadharia tu.hakuna aliethibitisha bila kuacha maswali.

Sasa hapo utakataaje kuwa mwezini hakuendeki,na sio kwamba majaribio hayafanyiki.

Yanafanyika ila hayafanikiwi
 
Afrika bado sana, wakati serikali zetu zinapuyanga kwenye siasa za kuumiza wananchi wake na kufikilia kumuweka mtawala afie madaraka wengine wanasafiri.

MADA:
Nimekuwa nafuatilia hawa waarabu kwenye hili jambo la kurusha chombo cha anga za mbali, pamoja na kuwatumia baadhi ya wazungu ila kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa.

Muda mfupi uliopita nikiwa nafuatilia updates za safari ya chombo hicho hakika wametengeneza historia, chombo cha delta v kimeachana na Hopeprobe ili kuendelea na safari yake iliyokuwa ya kasi ya 121,000km kwa saa na kupungua mpaka 18,000km/h ili kuweza kufanya utafiti.

Nimehisi kitu flani kuangalia tukio hili kwa waarabu hao jinsi walivyokuwa na furaha sana, wakipokea pongezi kutoka kwa wadau mbalimbali wakiwemo spaceX mnayojua inamilikiwa na nani.

Ni rasmi sasa katika safari ya awamu ya pili kuingia eneo la Mars.

Wakiwa tweeterwalikuwa wakitoa updates za kile kilichokjwa kikiendelea.



Na kutokea kwenye live streaming updates ya YouTube ilikuwa hapa .

Wakati nchi za wenzetu dira zao zinaamini katika Science,Research and development katika ku-propel and ku-prosper za kwetu bado zinaamini katika mawazo ya viongozi ili ku-propel.

Na wakati mwingine mawazo yao huwa ya kijinga kwa maana viongozi wetu wengi hupenda kusifiwa hata kwa ujinga ili kuonesha hakuna wengine bora zaidi ya wao

Pengine hufanya hivi wapate kibali cha kuendelea kutawala kwa faida zao binafsi.

Kama Marekani ingekuwa Tanzania kwa mfano leo Trump angekuwa Rais Marekani.

Lakini pia kwa yale ya kijinga ya Trump hawakusita kumkemea na kurekebisha.

Hii ndio misingi ya nchi inayoamini katika Facts na sio pompousity ya mtu.

Moja kati ya mambo muhimu yaliyomuharibia Trump credit ni pamoja na jinsi alivyoshughulikia mlipuko wa korona mwanzoni mwa mlipuko.

Jambo ambalo pia ndio msingi wa tatizo lile lile hapa kwetu lakini outcome kwa watu walio-base kwenye science and Facts ni tofauti na sisi tulio-base kwenye busara za viongozi hata kama busara ni primitive, unstandard and uncivillized.

Leo, wataalamu wetu wa afya kwa mfano, wanashindwa kufanya kazi zao kwa sababu kazi zao zinapingana na fikra za kiongozi mmoja asiyeamini katika nisingi ya tiba based on science.

Kesho idara za fedha zinaweza kuingiliwa pia na mtu sababu ni kiongozi na mawazo yake hayapingwi na si mtaalamu wa fedha

Kesho, idara ya kilimo, utafiti n.k vitaingiliwa. Sasa badala vyombo vyetu vimpe ushauri wa kitaalamu, kiongozi ndiye kawa mshauri wa vyombo vyetu.

Mungu wabariki watanzania, akili zao mgando zizidi kufunguka.
Mungu wabariki Waafrica waondokane na ujinga.
Ahsanteni kwa mjadala huu!
 
Back
Top Bottom