Safari za anga za mbali ni tofauti sana na za huku duniani

Mzawa_G

JF-Expert Member
Feb 27, 2014
667
1,467
Wengi tumeshindwa kuelewa ni kwa vipi safari za anga za mbali zinavyokuwa katika suala zima la mienendo yake ambapo wengi wetu tumekuwa tunapata ukakasi kufahamu

Umbali kutoka katika uso wa dunia mpaka pale katika kituo cha anga za mbali ni makadirio ya 420-450 kilomita huo ni umbali wa urefu kama chombo kitatoka moja kwa moja kwa mwenendo wa vertical direction kuelekea huko kwenye kituo

Utofauti unakuja kwenye umbali mzima kwenye safari ambapo vyombo huwa vinasafiri kwa kuzunguka dunia huku vikiwa vinapanda urefu taratibu kuelekea kwenye kituo cha anga za mbali

Kipenyo cha dunia ni takribani 12,000 kilomita hapo ni kwa mzunguko mmoja tu , Kikawaida kila mission huwa na utaratibu wake haswa kwa nchi na nchi mfano Nchi ya Urusi huwa na utaratibu wao na pia nchi ya Marekani huwa na utaratibu wao kutokana na aina ya vyombo wanavyovitumia

Urusi hutumia chombo cha Soyuz ambacho hutumia kiasi kisichopungua Masaa 4 had 5 kuelekea katika kituo cha anga huku Manuever mengi yakifanywa na rubani kuweza kuwafanya wanaanga wasikae ndani ya chombo kwa muda mrefu zaidi kwakuwa chombo hicho huwa ni kidogo sana , kiufupi hawa wanapita njia za shortcut sana

Marekani wao kwasasa hutumia chombo cha Crew dragon ambacho chenyewe hutumia muda wa masaa 19-21 kuelekea katika kituo cha anga za mbali hawa sasa hufanya mizunguko mingi ya dunia yetu huku wakipanda kuelekea juu taratibu tofauti na wanavyofanya warusi , kikubwa chombo chao huwa na space kubwa na chengine Marekani hufanya tourism mbalimbali za anga wakati wa safari yao

Kwa yule aliyeiliza swali nadhani haya ndio majibu yake kamili , safari za anga ni tofauti kabisa na safari za duniani , pia chombo huwa kinazunguka dunia na sio kama wengi wanavyodhani kuwa kinasafiri kuelekea juu na pili umbali wa km 420-450 ni ule wa kuelekea kwa mwenendo wa vertical na wala sio horizontal kama vyombo vya anga vinavyosafiri

Moudyswema
Tanzaniascienceyetu
AstronomyKiswahi
FB_IMG_1679000504306.jpg
 
Wengi tumeshindwa kuelewa ni kwa vipi safari za anga za mbali zinavyokuwa katika suala zima la mienendo yake ambapo wengi wetu tumekuwa tunapata ukakasi kufahamu

Umbali kutoka katika uso wa dunia mpaka pale katika kituo cha anga za mbali ni makadirio ya 420-450 kilomita huo ni umbali wa urefu kama chombo kitatoka moja kwa moja kwa mwenendo wa vertical direction kuelekea huko kwenye kituo

Utofauti unakuja kwenye umbali mzima kwenye safari ambapo vyombo huwa vinasafiri kwa kuzunguka dunia huku vikiwa vinapanda urefu taratibu kuelekea kwenye kituo cha anga za mbali

Kipenyo cha dunia ni takribani 12,000 kilomita hapo ni kwa mzunguko mmoja tu , Kikawaida kila mission huwa na utaratibu wake haswa kwa nchi na nchi mfano Nchi ya Urusi huwa na utaratibu wao na pia nchi ya Marekani huwa na utaratibu wao kutokana na aina ya vyombo wanavyovitumia

Urusi hutumia chombo cha Soyuz ambacho hutumia kiasi kisichopungua Masaa 4 had 5 kuelekea katika kituo cha anga huku Manuever mengi yakifanywa na rubani kuweza kuwafanya wanaanga wasikae ndani ya chombo kwa muda mrefu zaidi kwakuwa chombo hicho huwa ni kidogo sana , kiufupi hawa wanapita njia za shortcut sana

Marekani wao kwasasa hutumia chombo cha Crew dragon ambacho chenyewe hutumia muda wa masaa 19-21 kuelekea katika kituo cha anga za mbali hawa sasa hufanya mizunguko mingi ya dunia yetu huku wakipanda kuelekea juu taratibu tofauti na wanavyofanya warusi , kikubwa chombo chao huwa na space kubwa na chengine Marekani hufanya tourism mbalimbali za anga wakati wa safari yao

Kwa yule aliyeiliza swali nadhani haya ndio majibu yake kamili , safari za anga ni tofauti kabisa na safari za duniani , pia chombo huwa kinazunguka dunia na sio kama wengi wanavyodhani kuwa kinasafiri kuelekea juu na pili umbali wa km 420-450 ni ule wa kuelekea kwa mwenendo wa vertical na wala sio horizontal kama vyombo vya anga vinavyosafiri

Moudyswema
Tanzaniascienceyetu
AstronomyKiswahiView attachment 2554452
Kwanini wazunguke dunia na sio kwenda straight vertically?
 
Kwanini wazunguko dunia na sio kwenda straight vertically?
Dunia inapozunguka inazunguka na atmosphere yake, kwa hiyo unaposafiri hata kama unaenda vertically bado utakuwa unaizunguka dunia.

Nilikuwa najiuliza juzi baada ya kumwona mwanasayansi mweusi kwenye safari ya kwenda mwezini, mfano mtu akiruka pale International Space Station atafika lini hapa?

Jibu nililopata ni kuwa akiruka kwenye kile chombo, hapa duniani atafika baada ya miaka 2.5 kwa sababu na yeye ataingia kwenye mkumbo wa kuizunguka dunia.

Hata hivyo atafika duniani akiwa hatamaniki kwa sababu atakavyoikaribia dunia mwili wake utaongezeka joto kubwa la kuweza kuyeyuyusha chuma kutokana na msuguano wa oxygen na yeye.

Nilisoma tu kwa lugha ya malkia ambayo siimudu, hivyo maswali siwezi.
Kwa ufupi hivi ndivyo nilielewa.
 
Dunia inapozunguka inazunguka na atmosphere yake, kwa hiyo unaposafiri hata kama unaenda vertically bado utakuwa unaizunguka dunia.

Nilikuwa najiuliza juzi baada ya kumwona mwanasayansi mweusi kwenye safari ya kwenda mwezini, mfano mtu akiruka pale International Space Station atafika lini hapa?

Jibu nililopata ni kuwa akiruka kwenye kile chombo, hapa duniani atafika baada ya miaka 2.5 kwa sababu na yeye ataingia kwenye mkumbo wa kuizunguka dunia.

Hata hivyo atafika duniani akiwa hatamaniki kwa sababu atakavyoikaribia dunia mwili wake utaongezeka joto kubwa la kuweza kuyeyuyusha chuma kutokana na msuguano wa oxygen na yeye.

Nilisoma tu kwa lugha ya malkia ambayo siimudu, hivyo maswali siwezi.
Kwa ufupi hivi ndivyo nilielewa.
Duuh, very interesting.

Na je hii kuzunguka pamoja na atmosphere inaathiri sehemu utakayodondokea ...yaani ukilenga kudondokea point X utadondokea hio hio au ndio mambo ya projectile motion yanaanza.

Na kwanini unavyoisogelea dunia ndio joto linaongezeka badala ya kupungua kwa sababu tuna assume unavyoenda juu unalikaribia jua and vice versa?

Ila kama joto la kuyeyusha chuma, means ukidondoka hutafika utakua umeshayeyuka, pia utakua ushakufa na njaa kitambo
 
Sawa hv haiwezekani kwenda tu moja kwa moja ni lazima wafanye mizunguko
ukae ukijua hicho kituo cha ISS nacho kinatembea kwa speed kubwa mno kiasi kinazunguka dunia mara moja kila baada ya dakika90 sawa na wewe muda wa Dar Kibaha na kusiwe na faleni lakini kwa hicho chombo kimezunguka dunia mara moja.
Kutokana na kutokaa sehemu moja lazima zifanyike maneuvering flani kujongea na kukitafuta uelekeo mahali kilipo.Ni sawa na wewe utoke Buguruni unataka kuwahi bus linatoka mjini linakwenda ubungo lizunguke tena lienda Sam Nujoma lifike mjini tena.
Sasa huwezi kusema uende moja kwa moja pale ubungo mataa unaweza kuta bus halijapita au limeshapita kitambo.Utakacho fanya ni kulifanyia timing toka likiwa Magomeni,Mwembe,Chai kisha unalikamatia Ubungo sasa hiyo ndio maneuvering na ndio maana inachukua muda mrefu sana pia kumbuka chombo kikikutana vyombo vinakuwa kama vinaungana sio jambo la kispoti ni hesabu zilizo shiba za projectile
 
Wanasayansi mnisaidie, unapokaribia jua joto linaongezeka au linapungua? Wanaoenda anga za juu si wanalikaribia jua?

KiMalaika wanasema “the higher you go the cooler it become”

Unapokua kwenye ardhi ya Dunia joto hua kali kuliko unapotoka kwanye usawa wa ardhi kwenda juu “vertical”

Hii ni kutokana na miale ya jua inapogonga ardhi inakua absorb na kutengeneza joto ardhini na kutoa mvuke unaorudi juu
Hivyo kutokana na ardhi kutoa mvuke hupelekea ardhi kua ya moto tofauti na unapoenda juu mfano Mlima Kilimanajaro au gorofani,
Ili kujua kua ardhi hua inatoa mvuke angalia barabara ya lami wakati wa mchana kukiwa na jua kali, bahari wakati wa mchana jua likiwa kali.
 
Duuh, very interesting.

Na je hii kuzunguka pamoja na atmosphere inaathiri sehemu utakayodondokea ...yaani ukilenga kudondokea point X utadondokea hio hio au ndio mambo ya projectile motion yanaanza.

Na kwanini unavyoisogelea dunia ndio joto linaongezeka badala ya kupungua kwa sababu tuna assume unavyoenda juu unalikaribia jua and vice versa?

Ila kama joto la kuyeyusha chuma, means ukidondoka hutafika utakua umeshayeyuka, pia utakua ushakufa na njaa kitambo m
Najibu mwishoni kabisa.
Kuhusu swala la kufa, ukiruka pale ISS bila jacket utakuwa hai ndani ya sekunde 15 huku mwili wako ukitumia Oksijeni iliyobakia kwenye damu yako. Ila ndani ya dakika 2 utakuwa umeshakufa huku ukiendelea kuizunguka dunia sawa na magimba mengine.

Kuhusu swala la kutua ulipokusudia ukiwa ndani ya atmosphere huathiriki kwa sababu unazunguka na dunia.
Ingekuwa sivyo basi hapa duniani ndege ikitaka kwenda pahala lilikuwa swala la kuruka tu juu, kisha unalisubiri
 
Dunia inapozunguka inazunguka na atmosphere yake, kwa hiyo unaposafiri hata kama unaenda vertically bado utakuwa unaizunguka dunia.

Nilikuwa najiuliza juzi baada ya kumwona mwanasayansi mweusi kwenye safari ya kwenda mwezini, mfano mtu akiruka pale International Space Station atafika lini hapa?

Jibu nililopata ni kuwa akiruka kwenye kile chombo, hapa duniani atafika baada ya miaka 2.5 kwa sababu na yeye ataingia kwenye mkumbo wa kuizunguka dunia.

Hata hivyo atafika duniani akiwa hatamaniki kwa sababu atakavyoikaribia dunia mwili wake utaongezeka joto kubwa la kuweza kuyeyuyusha chuma kutokana na msuguano wa oxygen na yeye.

Nilisoma tu kwa lugha ya malkia ambayo siimudu, hivyo maswali siwezi.
Kwa ufupi hivi ndivyo nilielewa.
Ni kweli atakuwa part ya kuizunguka dunia kama satellite lakini kwa vile hana thrusters kama kituo hicho cha ISS kilivyo atakuwa anashuka taratibu inaweza kweli kuchukua miaka 2.5.
Kimbembe sasa akiingia tabaka la hewa nzito ya atmosphere ule msuguano na hewa ataungua vibaya mno wakati mwingine kuyeyuka kabisa.
Mfano mzuri Vladimir Komarov mwanaanga wa Urusi aliyekwenda anga za juu wakati wa kurudi kuingia duniani chombo chake kikakosea kufungua parachute hivyo aliserereka umbali wote huo kufika chini akawa kama nyama iliyochomwa ikaiva ikageuka ikawa mkaa angalieni wanaanga wenzake wanavoupa mwili wake heshima
 

Attachments

  • komarov.JPG
    komarov.JPG
    53.2 KB · Views: 14
Ni kweli atakuwa part ya kuizunguka dunia kama satellite lakini kwa vile hana thrusters kama kituo hicho cha ISS kilivyo atakuwa anashuka taratibu inaweza kweli kuchukua miaka 2.5.
Kimbembe sasa akiingia tabaka la hewa nzito ya atmosphere ule msuguano na hewa ataungua vibaya mno wakati mwingine kuyeyuka kabisa.
Mfano mzuri Vladimir Komarov mwanaanga wa Urusi aliyekwenda anga za juu wakati wa kurudi kuingia duniani chombo chake kikakosea kufungua parachute hivyo aliserereka umbali wote huo kufika chini akawa kama nyama iliyochomwa ikaiva ikageuka ikawa mkaa angalieni wanaanga wenzake wanavoupa mwili wake heshima
Ila kazi nyingine very risk aisee.
Chukulia mfano kwenye chombo cha ISS kinatembea km 8 kwa sekunde, yaani tuchukulie umbali kutoka kivukoni hadi ubungo kwa sekunde. Halafu wakati huo kunakuwa na mtu nje anafanya marekebisho mbalimbali ya chombo wenyewe wanaita Extravehicula Activivy (EVA).
Hata sasa namwangalia hapa live.
 
Najibu mwishoni kabisa.
Kuhusu swala la kufa, ukiruka pale ISS bila jacket utakuwa hai ndani ya sekunde 15 huku mwili wako ukitumia Oksijeni iliyobakia kwenye damu yako. Ila ndani ya dakika 2 utakuwa umeshakufa huku ukiendelea kuizunguka dunia sawa na magimba mengine.

Kuhusu swala la kutua ulipokusudia ukiwa ndani ya atmosphere huathiriki kwa sababu unazunguka na dunia.
Ingekuwa sivyo basi hapa duniani ndege ikitaka kwenda pahala lilikuwa swala la kuruka tu juu, kisha unalisubiri
Nimekupata vyema.
 
ukae ukijua hicho kituo cha ISS nacho kinatembea kwa speed kubwa mno kiasi kinazunguka dunia mara moja kila baada ya dakika90 sawa na wewe muda wa Dar Kibaha na kusiwe na faleni lakini kwa hicho chombo kimezunguka dunia mara moja.
Kutokana na kutokaa sehemu moja lazima zifanyike maneuvering flani kujongea na kukitafuta uelekeo mahali kilipo.Ni sawa na wewe utoke Buguruni unataka kuwahi bus linatoka mjini linakwenda ubungo lizunguke tena lienda Sam Nujoma lifike mjini tena.
Sasa huwezi kusema uende moja kwa moja pale ubungo mataa unaweza kuta bus halijapita au limeshapita kitambo.Utakacho fanya ni kulifanyia timing toka likiwa Magomeni,Mwembe,Chai kisha unalikamatia Ubungo sasa hiyo ndio maneuvering na ndio maana inachukua muda mrefu sana pia kumbuka chombo kikikutana vyombo vinakuwa kama vinaungana sio jambo la kispoti ni hesabu zilizo shiba za projectile
Aiseeeetutombane tu waafrika
 
Wengi tumeshindwa kuelewa ni kwa vipi safari za anga za mbali zinavyokuwa katika suala zima la mienendo yake ambapo wengi wetu tumekuwa tunapata ukakasi kufahamu

Umbali kutoka katika uso wa dunia mpaka pale katika kituo cha anga za mbali ni makadirio ya 420-450 kilomita huo ni umbali wa urefu kama chombo kitatoka moja kwa moja kwa mwenendo wa vertical direction kuelekea huko kwenye kituo

Utofauti unakuja kwenye umbali mzima kwenye safari ambapo vyombo huwa vinasafiri kwa kuzunguka dunia huku vikiwa vinapanda urefu taratibu kuelekea kwenye kituo cha anga za mbali

Kipenyo cha dunia ni takribani 12,000 kilomita hapo ni kwa mzunguko mmoja tu , Kikawaida kila mission huwa na utaratibu wake haswa kwa nchi na nchi mfano Nchi ya Urusi huwa na utaratibu wao na pia nchi ya Marekani huwa na utaratibu wao kutokana na aina ya vyombo wanavyovitumia

Urusi hutumia chombo cha Soyuz ambacho hutumia kiasi kisichopungua Masaa 4 had 5 kuelekea katika kituo cha anga huku Manuever mengi yakifanywa na rubani kuweza kuwafanya wanaanga wasikae ndani ya chombo kwa muda mrefu zaidi kwakuwa chombo hicho huwa ni kidogo sana , kiufupi hawa wanapita njia za shortcut sana

Marekani wao kwasasa hutumia chombo cha Crew dragon ambacho chenyewe hutumia muda wa masaa 19-21 kuelekea katika kituo cha anga za mbali hawa sasa hufanya mizunguko mingi ya dunia yetu huku wakipanda kuelekea juu taratibu tofauti na wanavyofanya warusi , kikubwa chombo chao huwa na space kubwa na chengine Marekani hufanya tourism mbalimbali za anga wakati wa safari yao

Kwa yule aliyeiliza swali nadhani haya ndio majibu yake kamili , safari za anga ni tofauti kabisa na safari za duniani , pia chombo huwa kinazunguka dunia na sio kama wengi wanavyodhani kuwa kinasafiri kuelekea juu na pili umbali wa km 420-450 ni ule wa kuelekea kwa mwenendo wa vertical na wala sio horizontal kama vyombo vya anga vinavyosafiri

Moudyswema
Tanzaniascienceyetu
AstronomyKiswahiView attachment 2554452
Aisee
 
Back
Top Bottom