Hatimaye Chadema yateka vijiji

Hatimaye Chadema yateka vijiji

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,639
Reaction score
272,446
Mwenyezi Mungu akubaliki kamanda kwa kuchola nembo ya Chama katika mlango wa nyu.jpg


Hiki ni kijiji cha Kamsamba , Jimbo la Momba mkoani Songwe , Pichani wanaonekana viongozi wa Chadema John Mrema na Katibu wa Kanda Nene ya Nyasa Emmanuel Masonga wakipiga Selfie kwenye nyumba ya mkulima

Nachukua nafasi hii kuwamegea siri makamanda wote na wadau wa demokrasia kwamba " KAZI IMEKWISHA "
 
Nachukua nafasi hii kuwamegea siri makamanda wote na wadau wa demokrasia kwamba " KAZI IMEKWISHA "
Unajua nitasema nini.
Haya kama hizo ndio juhudi, tunaweza sema "KAZI IMEANZA", na sio 'IMEKWISHA'!!

TAHADHARI: unahakika na usalama wao huko vijijini kwa kuwaonyesha bayana hivi? Mengine yanafaa kufanywa ki'gurrilar' hivi kwenye maeneo kama hayo, na siyo kujitangaza bayana kungali alfajiri hivi!
Hivi mtajifunza lini Erythro, na huku mkijua adui asivyokuwa na simile na uvumilivu!
 
View attachment 997653

Hiki ni kijiji cha Kamsamba , Jimbo la Momba mkoani Songwe , Pichani wanaonekana viongozi wa Chadema John Mrema na Katibu wa Kanda Nene ya Nyasa Emmanuel Masonga wakipiga Selfie kwenye nyumba ya mkulima

Nachukua nafasi hii kuwamegea siri makamanda wote na wadau wa demokrasia kwamba " KAZI IMEKWISHA "
Kazi imekwisha lakini katika Kata zaidi ya 130 nchini zilizofanya Uchaguzi mdogo tangu 2016, mmeambulia Kata chini ya Tano, kweli?
 
Jiwe akiona hivyo lazima apaniki!!
Huyo mwenye nyumba ya majani asahau kabisa kuwa na nyumba ya bati endapo CHADEMA ikishinda kwani Chama hakina akili ya kujenga Ofisi yao sasa wataweka mazingira gani ya mtu kujenga nyumba yake? Wataanza kujenga Ofisi zao Nchi nzima na kufumba na kufumbua miaka 5 inaisha hawajafanya chochote.
 
Back
Top Bottom