Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,987
àkatoe gundu na yyWanaume ni wachache inabidi akubali tu,,,! No way out,,,,!
àkatoe gundu na yyWanaume ni wachache inabidi akubali tu,,,! No way out,,,,!
nauliza tu jamani..Haha. Maza house unapenda uchokozi eh?
Sasa mbona kajitwisha tena matatizo? Au ndo watakua wanachangia mke mmoja?Inasemekana chanzo ni Bi harusi kuendeleza mahusiano na mzazi mwezie na kwamba tyr ana mimba ya huyo X wake ss wamemaliza je?
Hata mimi....yani wanawake sisi sijui tukoojeNingekuwa huyo Dada nisingekubali aisee atakuwa na Ndoa ngumu Sana.
Hivi unadhani kwa hiyo "style" ya kukimbiwa nani angejitosa tena,,? Bora jamaa yake huyo huyo kuliko kukosa kabisa,,,,!àkatoe gundu na yy
kweli kabisa Ila namsifuuHivi unadhani kwa hiyo "style" ya kukimbiwa nani angejitosa tena,,? Bora jamaa yake huyo huyo kuliko kukosa kabisa,,,,!
nauliza tu jamani..
Maana looh!hicho sio cha nchii hii..
na mm nataka nitunge sentensi sasa
Watu kama nyie hamkosekaniki kwenye jamiiSidhani kama itadumu hii, ila hongera zao
Ya kwako lini,,,? Nataka nikuchangie,,,,!kweli kabisa Ila namsifuu
mwezi February Mungu akipendaYa kwako lini,,,? Nataka nikuchangie,,,,!
Mhhhhhm una uhakika?halafu hawa maharusi walikutana humu humu JF
Hakuna ndoa nyepesi labda hiyo yakoNingekuwa huyo Dada nisingekubali aisee atakuwa na Ndoa ngumu Sana.
ila ukimfumania boyfriend uko tayari kurudiana naeAlipokimbia awali kilichomkimbiza nn me nisingekubali anioe
Hongera Sana ila angalia jamaa asije ankaingia mitini dakika 0.mwezi February Mungu akipenda
Kwa kuziba masikio, Dunia ukiacha masikio yako On hata mpododo ulionao utaambiwa sio wako ni wa kichinaInasemekana chanzo ni Bi harusi kuendeleza mahusiano na mzazi mwezie na kwamba tyr ana mimba ya huyo X wake ss wamemaliza je?
kweli kabisa, itakuwa ndugu wameona aibu wakamsema jamaa ikabidi akubali tujamaa anaonekana kaua soo tu
We ulishawah kuexperience kufumania? Sithubutuila ukimfumania boyfriend uko tayari kurudiana nae