Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 890
- 2,203
- Thread starter
-
- #41
Good morning to the sexiest woman in the whole wide World
relax, haujapoteza kitu mrembo. Jiamini thamani yako ipo pale pale kuachwa na boss haujapungukiwa chochote, trust me huenda hata Mungu KAKUEPUSHA.Nyie wanaume mnavyowala ovyo na kuwazalisha wanawake ovyo mnadhani nani victim mkubwa hapo ni mwanamke
Ndio maana maisha yenu Bado mnahangaika tu na Bado mpaka kua lishuke liwafikie utosini
Akikujibu nitagg
labda kuna kitu boss kaona wewe huna na uyo alieolewa anacho ko usipanic madam.
1. Wakati anakuchezea, wewe ulikuwa wapi?Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kua nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, uyo mwanamke mwenyewe ata sijui why did he choose her over me anyways kuoa Au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakua banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Khaaaaa I love your bad mannerNdio zenu izo ili mtule Alaf mnajufanya kuoa wengine
Mwaka huu tutakomesha vitendo hivyo
You can’t get away with everything
MAJUTO NI LAZIMA
I hate that word kuchezewa seriously na akili zako ulikua unachezewa or mlikua mnalizishana tamaa za miili yenu hebu amkeni ukiona hakuna muelekeokatafute mwingine or Kaa pembeni tafuta helaHatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kua nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, uyo mwanamke mwenyewe ata sijui why did he choose her over me anyways kuoa Au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakua banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Hicho ambacho huyo mwanamke wake anakikosa, ulimwonyesha kwamba akienda huko atakosa hiki??Ww kila mtu na mtu wake hapa duniani Ndio kanuni ya Mungu
Shida ni kumpata aliekupangia Mungu
Nina hi kitu ambacho yy hana uyo mke wake
Ila Kwann kapoteza muda wangu ataulipia tu soon
Dawa ya vicheche ni kuvichenchede tuHatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kua nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, uyo mwanamke mwenyewe ata sijui why did he choose her over me anyways kuoa Au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakua banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Hivi kumbe ule Uzi wako ilikuwa taarifa ya kweli? Nilidhani ilikuwa ni changamsha kijiwe kama tulivyokuwa tumezoea humu
Anyways, Sisi Wanaume tunaweza kudate na Wanawake hata 3 ama 100 lakini tukachagua mmoja wa kuweza kukaa naye kutokana na element Fulani Fulani ambazo tunakuwa tumeziona kwa huyo binti.
Na huna sababu ya kujilaumu eti kupoteza muda wa kuwa pamoja naye, muhimu ni kuwa you had good time.
Anza kujifunza huyo Mwanamke mbaya aliyeolewa naye kama ulivyosema hapa ana nini cha ziada kuhusu tabia n.k ili nawe uweze kujifunza na ujirekebishe hatimaye upate Mume wako pia.
Usihangaike kuchagua sana, hata akija mzabzab kukutolea mahari mpokee hivyo hivyo muanze maisha ya kubebishana na valentine hii
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kua nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, uyo mwanamke mwenyewe ata sijui why did he choose her over me anyways kuoa Au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakua banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
What if wewe ndio ulikua unampotezea muda?Ww kila mtu na mtu wake hapa duniani Ndio kanuni ya Mungu
Shida ni kumpata aliekupangia Mungu
Nina hi kitu ambacho yy hana uyo mke wake
Ila Kwann kapoteza muda wangu ataulipia tu soon
Hakuna mtu anayechezea mtuSasa hao 100 uliowachezea karma yao lazima ulipe don’t think you can get away with everything
Hoops mtu aneshindwa kula analia kila usiku kwasababu yako utalipa tu tena hapa hapa duniani either kwako Au Liza I chako mpk utubu
Ndo maana yake! Hakuna kitu kinawaangaisha wanawake kama kuolewa! Hata mzungu!Sawa kwani kuolewa Ndio ticket ya kuingia mbinguni eh
Yani mke halalali wa boss wako unamuita malaya kweli?😂Eti wife material
Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu
Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni