Yeye pia binadamu so lazima tupeane nafasi nyingine za kujirekebisha cos ss sio watimilifu vituko vyake,mambo yake haviwezi mfanya asiwe mke bora cku zinaenda kasi sana,tumuombee kwa mwenyez mungu awe mke bora na wa mfano cos mm naamin hajaolewa kwa bahati mbaya ni mipango ya mwenyez mungu inshallah amjalie ndoa njema kufa na kuzika na yenye faida kwa kizaz chake chote,........m bora mbele ya mwenyezi mungu ni yule anaemuabudu na kumtegemea yeye...namtakia maisha mema na ya fanaka ktk ndoa yake
kama ulikuwepo kichwani mwangu! Hii inaonyesha hakuna cha mtu kuolewa wala nini!magazeti ya shigongo yangekuwa yashapigana vikumbo kwenye harusi hiyo!! wafukunyuki hawajui, loh??!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.