Vyovyo utakavyo spin motive ya mauaji haya ni siasa kwa kuwa mwenyekiti wa ccm ni mmoja kati ya wahusika. Kumtumia mtu wa karibu anayejua mienendo ya 'target' ni mbinu ambayo mara nyingi hutumiwa katika hujuma.
Kuna tofauti gani kwa CCM kumtumia Shibuda ambaye ubunge wake umedhaminiwa na CDM katika kuihujumu CDM na kumtumia mpangaji katika kumhujumu mwenye nyumba?. Zote ni siasa kwa kuwa malengo ni ya kisiasa.
Umenena sawa kabisa mkuu,
Huo wekundu wa maandishi waonesha jinsi gani CCM inavyofadhili siasa za UMWAGAJI DAMU!
Yawezekana SHIBUDA anahusika pia, sindo alikuwa anawapelelezea CCM maisha ya huyo m'kiti wa CDM?