Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
malipo ni hapa duniani sheria ichukue mkondo wake
Hawa jamaa wote inatakiwa kabla ya kuhukumiwa, bunge likae kwa dharura ili kupitisha sheria ya hukumu ya kifo kwa kuchinjwa hadharani, kisha ndipo wahukumiwe kwa humumu hiyo mpya, ni kisha itekelezwe ndani ya saa zisizozidi 24 tangu kutolewa kwake.MTUHUMIWA HUYO ALMAARUFU KWA JINA LA (CHEWAJA)ALIKUWA NI MPANGAJI KATIKA NYUMBA YA MAREHEMUNI (waliishiwote myumba moja) NI MZALIWA WA SINGIDA,MKAZI WA ARUMERU MASHARIKI,AMEKAMATWA DODOMA AKIWA KWA MGANGA WA KIENYEJI,AWATAJA ALIOSHIRIKIANA NAO KATIKA MAUAJI HAYO MMOJA WAPO NI KADA WA CCM NA PIA NI MWANYEKITI WA KIJIJI,VILIO VILITAWALA BAADA YA MTUHUMIWA HUYO KURUDISHWA KIJIJINI CHINI YA ULINZI MKALI WA JESHI LA POLISI KUONYESHA OLIKOFICHA VIFAA VYA MAUAJI WANANCHI WAPANDWA NA HASIRA WATAKA KUMUUA ASKARI WAZUIA,SILAHA ZAKUTWA SHAMBANI KWA MWENYEKITI ZIKIWA ZIMEFUKIWA CHINI AMBAPO BAADA YA KUFUKUA WALIKUTA BUNDUKI MBILI,KISU PANGA,NA MASHINE YA KUKATIA MITI ILIYO TUMIKA KUMCHINJIA MAREHEMU ALIFANYA MAUAJI HAYO KWA UJIRA WA SHILINGI ZA KITANZANIA MILIONI MBILI(SH.2.000,000/=)YASEMEKANA HATA UKO SINGIDA ALIKIMBIA KESI YA MAUAJI.
source:MIMI MWENYEWE LIVE KUTOKA KATIKA TUKIO.
Hapana shegaboy! Usihukumu haraka hivyo kwamba ccm ni wauaji kwa maana sidhani kama kulikuwa na kikao cha ccm kilichokaa na kupanga mauaji.Kinachotokea Arumeru Mashariki ni kama kilichotokea Nduli Iringa. Ya Iringa tuyaache maana yapo mahakamani. Lipo tatizo za ukereketwa mkali. Wapo wanachama wa ccm ambao wanajiona wao ndo ccm yenyewe. Chama chake kikishindwa anaona ni yeye ameshindwa na anaumia sana kuliko mwenyekiti wake wa taifa. Ndo hao wanafanya vitendo vya ajabu si chama.
Kwa hiyo tofautisha matendo ya mtu binafsi na misimamo ya chama.
Kweli mkuu, ila mie nafikiria zaidi..huyu jamaa inamaana ni profeshono muuji? Ccm walikuwa wanamjua wakamkodi!
Kuna maswali mengi hapa!
Haihusiani na siasa, alikuwa mpangaji wake.
Hawa jamaa wote inatakiwa kabla ya kuhukumiwa, bunge likae kwa dharura ili kupitisha sheria ya hukumu ya kifo kwa kuchinjwa hadharani, kisha ndipo wahukumiwe kwa humumu hiyo mpya, ni kisha itekelezwe ndani ya saa zisizozidi 24 tangu kutolewa kwake.
Na kweli, ndio maana mpango mzima wa mauaji na silaha za mauaji zote kwa mwenyekiti wa ccm wa kijiji!Haihusiani na siasa, alikuwa mpangaji wake.
watch out huyo jamaa wa ccm atauwawa kiaina kupoteza ushahidi coz am sure kuna vigogo nyuma yke...hawezi kupata 2m kiulaini namna hiyo
....kama kulikuwa na ujira inamaanisha kuna mtu iliaajiri kufanya kitendo hicho; je, ni nani huyo? Na ni nani aliwalipa ujira huo?
Dah....watu wana roho ngumu sana. Yaani mpaka kuchinjana kwa sababu ya siasa tu!