Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,740
- 225,488
Ni makosa yeye kumtumikia Mungu?Aseew ana stress vibaya mno...hivi huwa hawatoshekwi?
Mavyeo yote ambayo alishapata ila bado tuu anasumbua
Nakumbuka alivyostaafishwa uRC aliamua kuwapigia CCM wenzake kampeni akidhani mzee Baba atampa tena teuzi..kumbe Holla