Niko na kagazeti hapa naangalia angalia.
Mie kwa kweli simu ila nimeshangaa na kumpa hongera kuna mdada tulikuwa naye chuo yeye akichukua shahada ya elimu mie social science kaitwa nafasi ya koplo wa uhamiaji halafu tena kapata nafasi ya ualimu yupo huko TUKUYU anafundisha.
Ama kweli kila mtu na bahati yake jamani.