Hatimae nimeanza maisha ya geto

Hatimae nimeanza maisha ya geto

150,000/- ni kodi ya miezi mingapi mkuu.?
Hongera kwa kuanza kujitegemea.
 
Dah nimeumia sana kuusoma huu uzi mana Mimi nimetoka kurudisha Mpira kwa kipa siku si nyingi, hongera sana mkuu.
 
Mbona hujaongelea suala na kuchakata mademu kwenye gheto jipya maana utaokoa sana hela ya kwenda guest
 
150,000/- ni kodi ya miezi mingapi mkuu.?
Hongera kwa kuanza kujitegemea.
Hiyo 150000 niliigawa 100000 nilinunua godoro,, 30000 nikalipia chumba miezi mitatu,, nyingine nikanunua baadhi ya vyombo mhimu pale magetoni maisha yakaanza.
 
Dah nimeumia sana kuusoma huu uzi mana Mimi nimetoka kurudisha Mpira kwa kipa siku si nyingi, hongera sana mkuu.
Pole mkuu kwa hilo,, pia nashukuru kwa hongera, nipe kisa chako hata kidogo kipi kilisababisha mpira kurudi kwa kipa?.
 
Boss hiyo 30k chumba miezi mitatu ni balaaa ni wapi huko?? Elfu kumi kwa mwezi, bila shaka huduma zingine kama umeme na maji hazipo.
 
Maisha Mwanza Simple sana aisee yaan chumba kwa mwezi sh 10,000/- Dar hata kulipia Umeme kwa mwezi haitoshi
 
Mkuu mimi nilianza kulala chin kabisa,.ilinibid nichukue kipande cha ubao uliokua umebak wakat wa ujenzi ili nikilalie nisiumie na barid ya sakafu, shuka nilikua nalo 1 tu la light blue lililokua limeunguzwa na pasi katikati...
Namshukuru mwenyezi mungu sahiv sijafika hata miaka 25 ila nimeshanyanyua nyumba nimepaua na sahiv nipo hatua za finishing...
Ukikaa kwa ndugu huwez kupiga hatua atakutumia kujinufaisha yeye na akiona hutak kuwa mtumwa utageuka kuwa adui yake no 1 ,,,, hasira nilizo nazo sasa za kutafuta maisha zimechangiwa na manyanyaso ya ndugu,,

Pambana usiruishe mpira kwa kipa, achana na anasa zisizo na faida, jitahid u save pesa
 
Mkuu mimi nilianza kulala chin kabisa,.ilinibid nichukue kipande cha ubao uliokua umebak wakat wa ujenzi ili nikilalie nisiumie na barid ya sakafu, shuka nilikua nalo 1 tu la light blue lililokua limeunguzwa na pasi katikati...
Namshukuru mwenyezi mungu sahiv sijafika hata miaka 25 ila nimeshanyanyua nyumba nimepaua na sahiv nipo hatua za finishing...
Ukikaa kwa ndugu huwez kupiga hatua atakutumia kujinufaisha yeye na akiona hutak kuwa mtumwa utageuka kuwa adui yake no 1 ,,,, hasira nilizo nazo sasa za kutafuta maisha zimechangiwa na manyanyaso ya ndugu,,

Pambana usiruishe mpira kwa kipa, achana na anasa zisizo na faida, jitahid u save pesa

Una story nzuri kama yangu, nilitoroka kutoka kijijini nikaenda mjini nikiwa na elfu 10 mfukoni cha kushangaza pesa yote ikaisha kwenye nauli kilichofata Mungu ndo anajua.
 
Big up sanaaaaa braza nunkuu usianze kuvusha sahiv subir mpaka mwakani mwez kama huu ndo uanze kuvusha moja kwa mwezi
 
Kaza, Kazana, kiakili na kimatendo.

Hongera sana mdogo wangu.
 
Mkuu mimi nilianza kulala chin kabisa,.ilinibid nichukue kipande cha ubao uliokua umebak wakat wa ujenzi ili nikilalie nisiumie na barid ya sakafu, shuka nilikua nalo 1 tu la light blue lililokua limeunguzwa na pasi katikati...
Namshukuru mwenyezi mungu sahiv sijafika hata miaka 25 ila nimeshanyanyua nyumba nimepaua na sahiv nipo hatua za finishing...
Ukikaa kwa ndugu huwez kupiga hatua atakutumia kujinufaisha yeye na akiona hutak kuwa mtumwa utageuka kuwa adui yake no 1 ,,,, hasira nilizo nazo sasa za kutafuta maisha zimechangiwa na manyanyaso ya ndugu,,

Pambana usiruishe mpira kwa kipa, achana na anasa zisizo na faida, jitahid u save pesa
Unajishughulisha na nini mkuu?

Sent using Samsung J1
 
Back
Top Bottom