Hatimae mke wangu kasalimu amri

Hatimae mke wangu kasalimu amri

uko bar tena nini uandikavyo?? kweli hushauriki na ni kichwa ngumu, useless guy!!!..mama's boy, eiwwww!!
 
anayefunga sred huwa ni Asprin, ngoja aje kwanza naye atie neno.

oDM, kuja pande hii uone wanamme bana.

Wadau mmeshamsema sana kasikia na siku nyingine hatarudia tena kumnyima mkewe huduma. Msameheni bure.

HAYA THREAD IMEFUNGWA KWA USALAMA WAKE.
 
Last edited by a moderator:
Labda kama wataka kufurahisha wana forum ..... lakini kama uloyaandika upo serious... pole sana ... umepitiliza cheo cha uzuzu.....
 
Baaada ya kukata mawasiliano ya tendo la ndoa na mke wangu kumuadhibu kwa kukorofishana na mama yangu na yeye kuniambia nimtaftie mwanamume wa kumliwaza kwa hasira niliamua kuamua kula baa,kuchelewa kurudi na kuhama chumba HATIMAYE mke wangu kuniomba samahani kwa upole na unyonge na kuniambia kuwa hatorudia tena kuniambia maneno kama yale na ile hamu alokua nayo imeisha. MNAONA? HAWA WANAWAKE UKIWACHEKA NAO WANAKUPANDIA KICHWANI,

Is this a win-win or win-lose situation kulingana na mtazamo wako?
 
Baaada ya kukata mawasiliano ya tendo la ndoa na mke wangu kumuadhibu kwa kukorofishana na mama yangu na yeye kuniambia nimtaftie mwanamume wa kumliwaza kwa hasira niliamua kuamua kula baa,kuchelewa kurudi na kuhama chumba HATIMAYE mke wangu kuniomba samahani kwa upole na unyonge na kuniambia kuwa hatorudia tena kuniambia maneno kama yale na ile hamu alokua nayo imeisha. MNAONA? HAWA WANAWAKE UKIWACHEKA NAO WANAKUPANDIA KICHWANI,
Ukiona kakuomba msamaha ujue keshapata bwana na ameamua kula na kipofu

KALAGA BAHO
 
aisee this one here is a brain dead idiot, sorry to say but he surely is.
hivi utu uzima wako haukufundishi kuwa wanawake wapo very tricky? mwenzio amefanya hivyo kwa sababu nyingine nyingi tu but I doubt if ati she is sorry "for what she did"...na unavyojiona mwamba ndio anazidi kukuona pimbi. kama amefanya hivyo for the children's welfare je? kuna mtu anamridhisha elsewhere maana wewe ****ari yako ni ya "dhahabu"...upuuzi

siku ukija kugundua that ur wife is far wiser than you think...karibu uje ulie hapa JF maana umeamua to get ur bedroom drama exposed here!
 
Na unavoandika hata alama huweki?Sentensi moja ni paragraph zote hizo?Mbona wanafundisha primary school napo hukupita? Kama akili ya ndoa huna na ya darasan hun basi am so very sorry for you. Count yoursefl the world‘s most unfortunate guy.
 
anayefunga sred huwa ni Asprin, ngoja aje kwanza naye atie neno.

oDM, kuja pande hii uone wanamme bana.
Kongosho ukimwita Asprin aje kutia neno sred ndio itashika kazi maana ataanza kumpamba huyo bwana harusi mnyimi wa huduma mpaka apambike vilivyo!
 
Last edited by a moderator:
hivi huyu anaweza pambika kweli?

Labda awekewe mti krisimass

Kongosho ukimwita Asprin aje kutia neno sred ndio itashika kazi maana ataanza kumpamba huyo bwana harusi mnyimi wa huduma mpaka apambike vilivyo!
 
Last edited by a moderator:
mhhhhh jando zirudishwe tu

mi si nikwambia kaniaribia siku yangu that day!YANI JANDO VIRUDISHWWE TU!kama na huyu nae anajiita mwanaume tena mwenyewe anasema mwanaume rijali basi wanaume rijali inabidi tu watafute fasili nyingine ya neno hilo!mwanaume kabisa uliyekatwa g****i unathubutu kuongea ujinga kama huu?mi sielewi jamani ,serious sielewi kabisa!
 
aisee this one here is a brain dead idiot, sorry to say but he surely is.
hivi utu uzima wako haukufundishi kuwa wanawake wapo very tricky? mwenzio amefanya hivyo kwa sababu nyingine nyingi tu but I doubt if ati she is sorry "for what she did"...na unavyojiona mwamba ndio anazidi kukuona pimbi. kama amefanya hivyo for the children's welfare je? kuna mtu anamridhisha elsewhere maana wewe ****ari yako ni ya "dhahabu"...upuuzi

siku ukija kugundua that ur wife is far wiser than you think...karibu uje ulie hapa JF maana umeamua to get ur bedroom drama exposed here!

wala si uongo!kama mimi mwanamke najisikia hivi huyu jamaa anvojidhalilisha hivi wanaume mnajisikiaje?hebu mumPM kwa ushauri the guy's marriage is in stake,kwa akili yangu ya kike hapa ni full maigizo huyo dada ameshampata wa kumtoa kutu sa hizi kwatu!
 
Baaada ya kukata mawasiliano ya tendo la ndoa na mke wangu kumuadhibu kwa kukorofishana na mama yangu na yeye kuniambia nimtaftie mwanamume wa kumliwaza kwa hasira niliamua kuamua kula baa,kuchelewa kurudi na kuhama chumba HATIMAYE mke wangu kuniomba samahani kwa upole na unyonge na kuniambia kuwa hatorudia tena kuniambia maneno kama yale na ile hamu alokua nayo imeisha. MNAONA? HAWA WANAWAKE UKIWACHEKA NAO WANAKUPANDIA KICHWANI,

Keshapigwa!!!
 
Kwani wewe nani kakuambia kuwa jamaa alikatwa nanii? Si ajabu wanachogombania na mkewe ni huo mkono sweta! Wewe ungemkuta nanihii ana mkono sweta usingemkasirikia mama yake pia?

Afu na wewe usimshtue kuwa mkewe keshapata tiba, muache ajione mshindi!
mi si nikwambia kaniaribia siku yangu that day!YANI JANDO VIRUDISHWWE TU!kama na huyu nae anajiita mwanaume tena mwenyewe anasema mwanaume rijali basi wanaume rijali inabidi tu watafute fasili nyingine ya neno hilo!mwanaume kabisa uliyekatwa g****i unathubutu kuongea ujinga kama huu?mi sielewi jamani ,serious sielewi kabisa!
 
Mtu kama anaibiwa naona kama naibiwa mimi, pole sana mleta mada zuzu
 
hili jamaaa jing* kweli yani natamani nilichape makofi ingekuwa inawezekana.
Sa umejiona umeshinda kwa kutotumia akili? Mkeo ana akili na ni mstaarabu we watumia nguvu pasipo akili na ulikuja humu watu wengi wakakushauri kuwa ulicho kifanya hukuwa sawa lakini leo umerudi na ujinga wako mwingine.
Hebu kaa chini tafakari mbona unakuwa kama zoba wewe?
 
hili jamaaa jing* kweli yani natamani nilichape makofi ingekuwa inawezekana.
Sa umejiona umeshinda kwa kutotumia akili? Mkeo ana akili na ni mstaarabu we watumia nguvu pasipo akili na ulikuja humu watu wengi wakakushauri kuwa ulicho kifanya hukuwa sawa lakini leo umerudi na ujinga wako mwingine.
Hebu kaa chini tafakari mbona unakuwa kama zoba wewe??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom