Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
uko bar tena nini uandikavyo?? kweli hushauriki na ni kichwa ngumu, useless guy!!!..mama's boy, eiwwww!!
mdanganyeni tu mwanaume mwenzenu, akija kushtuka too late....
Mtoto wa kike mpaka saa hizi hujalala? Nlikuwa najiuliza kifafa cha mimba kinasababishwa na nini sasa nimeshajua.
Mtoto wa kike mpaka saa hizi hujalala? Nlikuwa najiuliza kifafa cha mimba kinasababishwa na nini sasa nimeshajua.
Tahadhari: Tumia kondom mbili kwa usalama kamili. Moja unavaa, nyingine unameza.
Mimi naitwa ODM na staki mtu a-quote hii posti yangu.
Shkamoo mwaJ. Nakupenda sana.
Mtoto wa kike mpaka saa hizi hujalala? Nlikuwa najiuliza kifafa cha mimba kinasababishwa na nini sasa nimeshajua.
Tahadhari: Tumia kondom mbili kwa usalama kamili. Moja unavaa, nyingine unameza.
Mimi naitwa ODM na staki mtu a-quote hii posti yangu.
Shkamoo mwaJ. Nakupenda sana.
Siyo kiviiiile, ila tu nakutaadharisha. Kaa mbali na mwaJ. First warning!Ok....sawa kiongozi....!
Ila huyu mwanzisha bandiko anachangamsha tu jukwaa....msimchukulie kiviiiiile.
Oh... Thats my girlie, hebu kam zis wei beibee...Ha ha haaaaa! Marhaba ODM! Imebidi tu niikwoti posti yako! Mengine nimejibu kwa wimbo mmoja wa Michael Jackson! Lol!
Keshatafuta wa kummsliza hamu yake, thats why kakwambia hivyo...... Kalaghabhao.....!!!!!
Kusoma kujui, hata picha hauioni?
Kweli sasa naamini katika huu msemo "mwanaume mpumbavu huvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe" i thought ni wanawake tuu, i was VERY wrong!!!
Watu wameshakusaidia kutoa hamu pole sanaBaaada ya kukata mawasiliano ya tendo la ndoa na mke wangu kumuadhibu kwa kukorofishana na mama yangu na yeye kuniambia nimtaftie mwanamume wa kumliwaza kwa hasira niliamua kuamua kula baa,kuchelewa kurudi na kuhama chumba HATIMAYE mke wangu kuniomba samahani kwa upole na unyonge na kuniambia kuwa hatorudia tena kuniambia maneno kama yale na ile hamu alokua nayo imeisha. MNAONA? HAWA WANAWAKE UKIWACHEKA NAO WANAKUPANDIA KICHWANI,