Mambo ya ndani hayo mnaleta
JF? Hamkupita Jandoni? Angalao hata mjomba akufundishe jinsi ya
kuendesha siri za ndani!! Pole
Atamie hua na shangaa,cri zenu mnazianika mby zaidi hazina mafunzo,kl m2 mkewang nimemfanyia ivi,mume wng nimemkoleza ivi,looh
izo zota ni zao la kuwachwa kwa mila na desturi za kitanzania,km vp jisifuni na muache no za cm bc 2wapongeze kwa ushindi wenu.