Kama kuna mtu aliyechaguliwa simba asili ni kaduguda ,hatimae wamempitisha ili akawasemee , Mimi nafkir mjumbe wa kwanza kujiuzulu au kufukuzwa ni huyu ,Yaan patachimbika mno?
Nb. Kaduguda nampenda sana japo ni mwanasimba. Mzee wa chapati na makofi.
Nb. Kaduguda nampenda sana japo ni mwanasimba. Mzee wa chapati na makofi.