Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,240
anaweza kuandamana kusheherekea kumbe hamna mabadiliko yoyote.Yeah, sijui mleta mada anaishi wapi.
anaweza kuandamana kusheherekea kumbe hamna mabadiliko yoyote.Yeah, sijui mleta mada anaishi wapi.
Ya hapa kwetu bado haijaanza kutumika majumbani, uzalishaji wake bado. Hizi tunazotumia kwa sasa zinatoka SauzBado kubwa sana! ishuke zaidi na zaidi, hivi si wanasema hapa Tz tuna natural gas jamani?
Bei ishuke zaidi
Yeah, sijui mleta mada anaishi wapi.
Mkuu,hebu toa ufafanuzi unaoeleweka kiuwazi zaidi.Tufafanulie vizuri maana kuna mitungi ya kilo 30,15 na 6.Tupambanulie kila mmoja na bei yake.Hii n habari njema kwa wananchi kuanzia Ijumaa gesi itashushwa bei.
Oryx kubwa 47-48 Alf beiya kuuza.
Oryx ndogo 19-20 Alf beiyakuuza.
Mihan kubwa 45-46alf beiyakuuza.
Mihan ndogo 19-20alf beiyakuuza.
NB:
BEI HIZI NI KWA HELA HALALIYA KITANZANIA...PIA ITATEGEMEA NA STOCK YA MTU..KAMA AJAMALIZA MZIGO WA ZAMANI TARAJIA KUKUTA BEI ILEILE..KWA MZIGO MPYA TU KUANZIA IJUMAA UTAUZWA HIZO BEI
RGDS
REV PDIDY
Siyo lazima ununue stock ya zamani we unaangalia tu kama wengine wameshushaHapo kwenye kujua kama stock imeisha au bado ya zamani tutajuaje, mitungi mipya ina nembo au alama?
Shukrani
Hii n habari njema kwa wananchi kuanzia Ijumaa gesi itashushwa bei.
Oryx kubwa 47-48 Alf beiya kuuza.
Oryx ndogo 19-20 Alf beiyakuuza.
Mihan kubwa 45-46alf beiyakuuza.
Mihan ndogo 19-20alf beiyakuuza.
NB:
BEI HIZI NI KWA HELA HALALIYA KITANZANIA...PIA ITATEGEMEA NA STOCK YA MTU..KAMA AJAMALIZA MZIGO WA ZAMANI TARAJIA KUKUTA BEI ILEILE..KWA MZIGO MPYA TU KUANZIA IJUMAA UTAUZWA HIZO BEI
RGDS
REV PDIDY
Bado tuna import gas ya majumbani. Gas ya mtwara itachukua mda sana kutumika, sio kitu cha kulima na kuvuna siku hiyo hiyo...Hakuna kushuka hapo. Ni geresha tu. Gas tulime sisi halafu bei iwe hiyo?
Jambo likifanyika lazima tukubali maana jaribu kukumbuka bei ya gesi ilikuwa bei ganiHizo sio bei za kushangilia. Ingeshuka hadi 20,000/= kwa kilo 15 ndo ningeona imeshuka
Kilo 15 ni 48,000/= ndugu. Bado sioni nafuu ya kushawishi mtanzania asifikirie kutumia mkaaKg 15 si ndiyo hiyo midogo ya 19-20!!!?
Unampongeza mwizi kwa kupunguza kukuibia?!Jambo likifanyika lazima tukubali maana jaribu kukumbuka bei ya gesi ilikuwa bei gani