Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,353
- 15,074
Chadema yadhihirisha ubaguzi wa kikanda,Sasa
1. Mwenyekiti (Mbowe)-Mkaskazini
2. Katibu mkuu (Slaa)-Mkaskazini
3. Naibu katibu mkuu(Mnyika)-Mk askazini.
4. Mwenyekiti Bawacha (Mdee) -Mkaskazini.
5. Mweka hazina-Mkaskazini
Duuuh,Mwanzo nilijua hoja ya ukanda kwa CHADEMA ni propaganda kumbe ni FACT.
Wale wa kukanusha naombeni mtueleze sifa ya ziada walizonazo watanzania wanaotoka Kaskazini kuliko wanachadema wa kutoka mikoa mingine,la sivyo mnataka tuamini kuwa CHADEMA wenye akili ni watu wa
Kaskazini.
Napinga na kukanusha kwa 100% kwa maana ktk hao wote uliowataja hakuna hata mmoja anayetokea Kaskazini mwa Tanzania!
Kaskazini mwa Tanzania kuna Ziwa Nyanza (Viktoria) na Mikoa ya Kagera, Mara na Mwanza na nijuavyo mimi Bw.Mbowe anatokea Mkoa wa KLM ambao upo Mashariki mwa Tanzania kama vile ulivyo Mkoa wa Tanga!
Hivyo kama ulimaanisha hao Viongozi wa CHADEMA wanatokea Mashariki mwa Tanzania hapo sawa lakni SIYO Kaskazini kwani Kaskazini kuna Mikoa ya Kagera, Mwanza na Mara!